Kwanini Watanzania wengi hawajui/hawafanyi Biashara za Exportation kwenye mazao ya Kilimo?

Ukweli ni kwamba hatujadedicate resources vya kutosha kwenye uwekezaji wetu.
 
Je mpka sasa unafahamu makampuni mangapi yanayo export mazao nje ya nchi na umejifunza nini?
 
Je mpka sasa unafahamu makampuni mangapi yanayo export mazao nje ya nchi na umejifunza nini?
Ndugu tuvunjie nondo hizo, mekuchimba profile yako kuna mengi unayajua fanya kututemea madini wengine wataendeleza
 
Hapo kwa museveni serekali hutafuta masoko nakuweka bayana kwa exporters.
 
Biashara ya export inalipa maana ukiwaona wanunuzi wa avocado wanaponunua njombe mpaka wanagombana hasa ulaya product zikiisha. Hivyo tunapaswa kufuatilia kwa makini ili tujue zinaendaje tuache uoga.
 
Biashara ya export inalipa maana ukiwaona wanunuzi wa avocado wanaponunua njombe mpaka wanagombana hasa ulaya product zikiisha. Hivyo tunapaswa kufuatilia kwa makini ili tujue zinaendaje tuache uoga.
Sera za nchi yetu zinasupport hii kitu au ndo itahitaji vibali lukuki? Hivi gharama za usafiri zinakuwaje mfano parachichi tuseme unaipeleka UK gharama zipoje?
 
Hapo kwa museveni serekali hutafuta masoko nakuweka bayana kwa exporters.
Hadi raha aisee inatia hamasa, imagine mtu upo bongo na unataka ku export unaanzia wapi kwa mfano? Hao wanunuzi na nchi zenye demand links tunazipatia wapi? Ebhu tupeane maarifa wadau na wengine tuingie mzigoni, natanguliza shukrani
 
Je mpka sasa unafahamu makampuni mangapi yanayo export mazao nje ya nchi na umejifunza nini?
Mpaka sasa namfahamu Hadija Jabiry,kuna home veg wapo arusha pamoja na Kisangani hawa jamaa wa njombe wanaexport avocados.
Kwanza hawa wote ni vijana wadogo sana kiukweli kitu kikubwa nachokiona kutoka kwao ni uthubutu ukisikiliza story zao zinakupa hamasa ya kutolukata tamaa kabisa.
 
Wapo kwenye social network yoyote? Kama ndio naomba username zao
 
Wapo kwenye social network yoyote? Kama ndio naomba username zao
Ingia Instagram search hadija jabiry utamuona .
Hata Kisangani nao watafute Instagram andika tu Kisangani utawaona.
Hawa jamaa wa Arusha wacheki YouTube andika home veg.
 
Yapo masoko mengi ya bidhaa za hapa ndani huko nje lakini bado tunashindwa kufanya biashara za export tunazidiwa na Kenya, Uganda na sasa hata Rwanda wametuzidi,
Sababu kubwa ya kwanza kwa sasa ni connection
Still watz wana connection ndogo na masoko ya nje, hatuendi kwenye exbihition, hatuko active sana kwenye matumizi ya internet n.k
 
Kuna mzee niliona anaexport kwenda botswana na South Africa hasa matunda ya aina zote . Nafatilia kwa ukaribu ili hata nipewe maarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…