Kwanini watanzania wengi hawajui vitu vya kawaida?

Kwanini watanzania wengi hawajui vitu vya kawaida?

Beberu

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2017
Posts
4,548
Reaction score
9,740
Am in hurry, so let's get straight to the point. Ndugu zangu waTz wenzangu tuna ujinga wa hali ya juu sana, yan sijui ndo kufuatilia mambo hatuna au ndo vile elimu yetu mbovu kabisa, mfano

Kwenye kazi yangu nakutana na wamama wengi sana hawajui siku zao za hatari ni zipi na safe days ni zipi? Sasa unajiuliza mama wa miaka 30 hajui vipi menstrual cycle?

Kuna mtu huko kaanzisha uzi analalamika jinsi bank inavyoibia wafanyakazi, ila ukiona point yake utacheka, coz ni kitu basic tu kinachoeleweka ila naona pale watu kibao wanalaumu mpaka unajiuliza hawa watu shule walienda au humu ndani tuna std 1 tu?

Wamama wengi wa Tanzania hawajui kuunganisha TV, yaani muwekee ile kila kitu kipo peke yake aunganishe hawezi wengi wanalipa mafundi.

Ukikaa kwenye majadiliano uone myth wanazolishana huku mitaani ndo utakimbia 😂😂

Anyway leo kuna baridi wacha niendelee kupasha joto.

20230629_094601.jpg
 
Am in hurry, so let's get straight to the point. Ndugu zangu waTz wenzangu tuna ujinga wa hali ya juu sana, yan sijui ndo kufuatilia mambo hatuna au ndo vile elimu yetu mbovu kabisa, mfano

Kwenye kazi yangu nakutana na wamama wengi sana hawajui siku zao za hatari ni zipi na safe days ni zipi? Sasa unajiuliza mama wa miaka 30 hajui vipi menstrual cycle?

Kuna mtu huko kaanzisha uzi analalamika jinsi bank inavyoibia wafanyakazi, ila ukiona point yake utacheka, coz ni kitu basic tu kinachoeleweka ila naona pale watu kibao wanalaumu mpaka unajiuliza hawa watu shule walienda au humu ndani tuna std 1 tu?

Wamama wengi wa Tanzania hawajui kuunganisha TV, yaani muwekee ile kila kitu kipo peke yake aunganishe hawezi wengi wanalipa mafundi.

Ukikaa kwenye majadiliano uone myth wanazolishana huku mitaani ndo utakimbia [emoji23][emoji23]

Anyway leo kuna baridi wacha niendelee kupasha joto.

View attachment 2676616
Sababu ya ugali.
 
Mama akiwa Mjamzito hapati lishe bora,

Akishajifungua anakula ugali Kwa mlenda,

Mtoto anaanza kulishwa uji wa Sembe tangu mchanga wa wiki 2-3 na kuendelea,

Badae mtoto anapewa chai ya rangi Kwa kitumbua/andazi ,

Hapo akili zitatoka wapi Kwa mfano? [emoji2369][emoji2369]
 
Naamini hata wewe kuna vitu hujui ambavyo akisikia mtu mwingine anayevijua anakushangaa na kukucheka
Jana kuna member kaanzisha uzi anauliza 0687 ni mtandao gani...inachekesha lakini ndio hajui sasa

Kimsingi huwezi kujua kila kitu,na hakunaga vitu vya kawaida kwenye kujifunza

Let's be humble...
 
Naamini hata wewe kuna vitu hujui ambavyo akisikia mtu mwingine anayevijua anakushangaa na kukucheka
Jana kuna member kaanzisha uzi anauliza 0687 ni mtandao gani...inachekesha lakini ndio hajui sasa

Kimsingi huwezi kujua kila kitu,na hakunaga vitu vya kawaida kwenye kujifunza

Let's be humble...
Mkuu rate ya maujinga ni kubwa sana, watu hawafuatilii mambo kabisa, ila kinachoboa wanajua kuja na conclusion na lawama kibao,

Watu hawafuatilii hata mambo yanayohusu miili yao, eg, Menstrual period
 
Mama akiwa Mjamzito hapati lishe bora,

Akishajifungua anakula ugali Kwa mlenda,

Mtoto anaanza kulishwa uji wa Sembe tangu mchanga wa wiki 2-3 na kuendelea,

Badae mtoto anapewa chai ya rangi Kwa kitumbua/andazi ,

Hapo akili zitatoka wapi Kwa mfano? [emoji2369][emoji2369]
Aiseee inabidi tuzidishe elimu ya lishe kwa jamii kwa kiasi kikubwa an
 
Am in hurry, so let's get straight to the point. Ndugu zangu waTz wenzangu tuna ujinga wa hali ya juu sana, yan sijui ndo kufuatilia mambo hatuna au ndo vile elimu yetu mbovu kabisa, mfano

Kwenye kazi yangu nakutana na wamama wengi sana hawajui siku zao za hatari ni zipi na safe days ni zipi? Sasa unajiuliza mama wa miaka 30 hajui vipi menstrual cycle?

Kuna mtu huko kaanzisha uzi analalamika jinsi bank inavyoibia wafanyakazi, ila ukiona point yake utacheka, coz ni kitu basic tu kinachoeleweka ila naona pale watu kibao wanalaumu mpaka unajiuliza hawa watu shule walienda au humu ndani tuna std 1 tu?

Wamama wengi wa Tanzania hawajui kuunganisha TV, yaani muwekee ile kila kitu kipo peke yake aunganishe hawezi wengi wanalipa mafundi.

Ukikaa kwenye majadiliano uone myth wanazolishana huku mitaani ndo utakimbia 😂😂

Anyway leo kuna baridi wacha niendelee kupasha joto.

View attachment 2676616
Kwanini waumize ubongo wao wakati kuna "madude" wapo tayari kufanya kazi hiyo . Mtoto wa kike lazima "adeke" asipodeka penzi linakosa motisha. Mwanamke akupikie chakula, asafishe nyumba, afue nguo na kadhalika - wanakuwa wamechoka . Usijidanganye kwamba hawana uwezo - wanacheza kamchezo ka wewe Mwanaume ujisikie unahitajika hapo nyumbani.
 
Back
Top Bottom