Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mungu awabariki wazunguNimepata wakati mgumu sana hapa Tandika Mwembeyanga , hasa baada ya kujikuta ni mimi tu ndiye nilikuwa Shabiki wa Senegal , vijana wengi wameshabikia wazungu !
Unadhani ni kwanini hali hii ?
Nimepata wakati mgumu sana hapa Tandika Mwembeyanga , hasa baada ya kujikuta ni mimi tu ndiye nilikuwa Shabiki wa Senegal , vijana wengi wameshabikia wazungu !
Unadhani ni kwanini hali hii ?
Wazungu wanaipenda chadema, hivyo ndiyo sababu wengi wameshabikia Uingereza. Unajua kwa nini watanzania wengi walifurahi Ubeleji (Belgium) kutolewa mapema?Nimepata wakati mgumu sana hapa Tandika Mwembeyanga , hasa baada ya kujikuta ni mimi tu ndiye nilikuwa Shabiki wa Senegal , vijana wengi wameshabikia wazungu !
Unadhani ni kwanini hali hii ?
Labda huko kwenu TandikaNimepata wakati mgumu sana hapa Tandika Mwembeyanga, hasa baada ya kujikuta ni mimi tu ndiye nilikuwa Shabiki wa Senegal, vijana wengi wameshabikia wazungu!
Unadhani ni kwanini hali hii?
Wamebeti kuwa Uingereza inashinda.Labda huko kwenu Tandika
Huku nilipo kila mtu alikuwa na African team Senegal[emoji1211]
Hata Cameroon ingekuwa mtoano wasingeifunga Brazil🇧🇷Mimi binafsi nilikuwa nawasupport Senegal (Sababu ya uAfrica wetu) ingawa toka moyoni nilikua najua fika kabisa Senegal hawawezi kutoboa mbele ya vijana wa King Charles licha ya wenzao Cameroon kuwafunga Brazil majuzi.
Nadhani tumeshuhudia kilichotokea.
Kwahiyo Tandika ndio Tanzania?Nimepata wakati mgumu sana hapa Tandika Mwembeyanga, hasa baada ya kujikuta ni mimi tu ndiye nilikuwa Shabiki wa Senegal, vijana wengi wameshabikia wazungu!
Unadhani ni kwanini hali hii?
hata hapa kitambaa cheupe sinza wengi wameshangilia uingerezaNimepata wakati mgumu sana hapa Tandika Mwembeyanga, hasa baada ya kujikuta ni mimi tu ndiye nilikuwa Shabiki wa Senegal, vijana wengi wameshabikia wazungu!
Unadhani ni kwanini hali hii?
hahahahahivi hao vijana watanzania unaowazungumzia wewe wanatosha kukaa bandani humo