Kwanini watengeneza magari waliacha kutengeneza bodi zenge bati gumu kama zamani

Kwanini watengeneza magari waliacha kutengeneza bodi zenge bati gumu kama zamani

Alubati

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2016
Posts
6,535
Reaction score
14,840
Miaka ya nyuma gari zilitengenezwa kwa bodi ngumu za material ya bati,hali ambayo gari ikipata ajali linabonyea na kuacha athari kidogo kwa wahanga wa ajali.

Tofauti na hivi sasa mtu ananunua gari milioni 500 lakini bodi ni kama aina fulani ya plastiki gumu.

Ikitokea ajali gari inakwisha kila kitu na watu wake humohumo,ukifika eneo la ajali utadhani ni dampo watu wametupa taka.

Shida nini?
 
Miaka ya nyuma gari zilitengenezwa kwa bodi ngumu za material ya bati,hali ambayo gari ikipata ajali linabonyea na kuacha athari kidogo kwa wahanga wa ajali.
Tofauti na hivi sasa mtu ananunua gari milioni 500 lakini bodi ni kama aina fulani ya plastiki gumu.
Ikitokea ajali gari inakwisha kila kitu na watu wake humohumo,ukifika eneo la ajali utadhani ni dampo watu wametupa taka.
Shida nini?
Bei za malighafi, fiber bei yake Sio sawa na metal.. pili hata machine za viwandani (kukunja na kufanya welding ) mashine za fiber pia hazina gharama kama za mabati

Kwa kifupi mtiririko mzima kuanzia malighafi hadi vitendea kazi kwa fiber nafuu kuliko mabati ila pia kuna Angle ya usalama ingawa hii huwa sielewagi wanasema plastic fibers zina absorve impact so chances za abiria kusurvive bi kubwa kuliko gari za mabati

Sasa hilo la mwisho usiniulize "how" maana mwenyewe haijaclick kwangu

Ila yote kwa yote tuko kwenye zama za low cost, mass production and less quality ili after 5 to 10 years urudi sokoni habar za kununua babu had mjukuu anatumia hawatak ..
 
😂😂😂
Kupunguza uzito wa gari, chuma chenyewe kupatikana, na ktk ajali chuma kikikaza mtu ni balaaa
Ajali zinazouwa watu wengi mfano mwaka huu pekee ni za uso kwa uso na gari zinakwisha kabisa nilidhani labda zingetengenezwa kama matoleo ya zamani kungekuwa na nafuu ya " kipigo".
 
Zile bodi ni chinja chinja si salama kwa binadamu kwa standard za miaka ya sasa....na ukijumlisha na uzito wake...mafuta kipengele...ila pia wamezitoa kupunguza manafucturing costs maana watu wanataka gari za bei nafuu.
Nimekuelewa mkuu
 
Unaongelea Gari za kutoka China & Japani...Mfano Chukua Scania ya Mzungu au German fananisha na Faw au Howo kutoka China Zina tofauti kubwa sana.. Scania King of the Road yuko vizuri
 
Gari ngumu zipo ni pesa yako tu, lakini ugumu wa bodi pekee hautoshi kuifanya gari kuwa bora, gari za sasa kwa ujumla ni bora zaidi kuliko za zamani ukizingatia masuala ya usalama na mambo ya kimazingira.

Features kama airbag, ABS, EPS n.k, gari za zamani si salama sana hata airbags hazikuwa nazo... gari za sasa zina utumiaji mzuri wa mafuta, masuala kama eco mode zamani haikuwepo.... urahisi wa uendeshaji na upigaji kona, gari za zamani steering kukata kona ni kama unapigana, nyingi zilikosa power steering.....

Kuna gari za sasa ni ngumu kwenye bodi na za kisasa zaidi ndio hayo madude kama G Wagon, bei yake unanunua kiwanja kando ya bahari na kujenga nyumba ya kifahari...
 
Mimi nadhani body rojorojo hizo zinasaidia kupunguza impact of collision ajali ikitokea,
Body ikiwa ngumu sana halafu gari zikagongana uso kwa uso kama gari hizo zina uzito na speed zinazokaribiana, bas kwenye hiyo collision gari hazita umia sana sababu body ni ngumu,

ila momentum itakuwa destroyed hapa ndo hatari ilipo, maana yake gari zitakuwa nzima ila wutu wote humo ndani hakuna ataepona. nadhani utachagu mwenyewe gari libaki zima halafu wewe usipone kwenye hiyo ajari.

Body ngumu ni zuri tu kama kama kwenye ajari na gari yenye body laini, hapa ili uelewe zingatia velocity of separation after collision.
Miaka ya nyuma gari zilitengenezwa kwa bodi ngumu za material ya bati,hali ambayo gari ikipata ajali linabonyea na kuacha athari kidogo kwa wahanga wa ajali.

Tofauti na hivi sasa mtu ananunua gari milioni 500 lakini bodi ni kama aina fulani ya plastiki gumu.

Ikitokea ajali gari inakwisha kila kitu na watu wake humohumo,ukifika eneo la ajali utadhani ni dampo watu wametupa taka.

Shida nini?
 
Bei za malighafi, fiber bei yake Sio sawa na metal.. pili hata machine za viwandani (kukunja na kufanya welding ) mashine za fiber pia hazina gharama kama za mabati

Kwa kifupi mtiririko mzima kuanzia malighafi hadi vitendea kazi kwa fiber nafuu kuliko mabati ila pia kuna Angle ya usalama ingawa hii huwa sielewagi wanasema plastic fibers zina absorve impact so chances za abiria kusurvive bi kubwa kuliko gari za mabati

Sasa hilo la mwisho usiniulize "how" maana mwenyewe haijaclick kwangu

Ila yote kwa yote tuko kwenye zama za low cost, mass production and less quality ili after 5 to 10 years urudi sokoni habar za kununua babu had mjukuu anatumia hawatak ..
Nimekuelewa
 
Mimi nadhani body rojorojo hizo zinasaidia kupunguza impact of collision ajali ikitokea,
Body ikiwa ngumu sana halafu gari zikagongana uso kwa uso kama gari hizo zina uzito na speed zinazokaribiana, bas kwenye hiyo collision gari hazita umia sana sababu body ni ngumu,

ila momentum itakuwa destroyed hapa ndo hatari ilipo, maana yake gari zitakuwa zima ila wutu wote humo ndani hakuna ataepona. nadhani utachagu mwnuewe gari libaki zima halafu wewe usipone kwenye hiyo ajari.

Body ngumu ni zuri tu kama kama kwenye ajari na gari yenye body laini, hapa ili uelewe zingatia velocity of separation after collision.
Nimekusoma, kumbe walizingatia vitu vingi,nilijua gari isipopigika sana na watu watakuwa na nafuu
 
Unaongelea Gari za kutoka China & Japani...Mfano Chukua Scania ya Mzungu au German fananisha na Faw au Howo kutoka China Zina tofauti kubwa sana.. Scania King of the Road yuko vizuri
Kwanini wasingeweka viwango sawa ? Huoni zikigongana mmoja mlaini ataonewa?
 
Back
Top Bottom