Kwanini watoto wengi wanapenda wali-maharage?

fungi6

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2017
Posts
287
Reaction score
266
Kuanzia nakua mpaka sasa wali maharage umekuwa 1st priority kwa watoto wengi wa kibongo!,

Ila nikawaza kuwa kuku ni mtamu even samaki but maharage limekuwa kinara kwa haya yote!,

Ila ni kwanini maharage kaja kuwa nothing kwa watu wengi, hasa baada ya watu kubalehe or kuvunja ungo?

Mtu akipevuka utaskia mimi napenda nyama na bear, or chips kuku or yai lakini i believe "1st always the best"

Maana maharage still our sons and daughter favorite food!,

Nikapata maswali machache
1, Maharage na wali ni brain stimuli?

2, Kwanini maharage ni priority mno kwenye shule zetu za boarding?

3, Why maharage kwa watu wenye vidonda vya tumbo ni harmful?

Is it bcz they stop it during their childhood so some enzyme adopt it and gafla zikaachishwa doz?
( lets imagine no any stomach reaction in stomach (a hoax about food),)

Ni mimi kwani peke yangu niliyependa ubwabwa ndondo?

NB: kama hukuwahi kula ubwaba harage, basi read and quite dont comment
 
Nikipika wali na mboga zingine lazima watoto wale mara 3 ndio kiishe.


Lakini nikipika wali maharage duh yaani haukuti hata ukoko
Hahaha wanakukumbukaga hata hivi au ndio hivyo inabidi tu uchemshe uji unywe
 
Kama wali maharage ni chakula pendwa cha watoto basi mimi sikui na wala sitakua kabisa, maana hicho ndiyo 'the food of choice'. Katiba ya nyumbani kwangu (haina Sura wala Ibara) zikipita siku tatu maharage hayajapikwa lazima wajieleze🤣🤣...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…