Kwanini watoto wengi wanapenda wali-maharage?

Naona mnaisifia MBOGA YA SERIKALI, serikali haimpi tu nyama ,shulen maharage, jeshin.maharage,boarding, hospitali...... Aaaa mboga kuu, ikipenda pia ita MBOGA YA TAIFA
 
Ubwabwa na maharage nikibadilika basi ujue dongo fish la kukaanga mchuzi kachumbari
 
ila mimi naona nina tatizo moja jama,siku hizi sijui ni ukubwa unaninyemelea ama vipi!!!!

sioni matamu maharage,tena haya ya mjini ambayo mpaka unafosi kingi unaunga na nyanya bado somo halieleweki.sijui shida ni aina ya maharage!!!maana natumia sana yale ta njano,na mekundu.kombati soya imeadimika kabisa machoni pangu.

nipeni experience ni aina gani ni matamu zaidi nakosa uhakika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wacha mchezo na wali ndondo wewe. Tena ukute la nazi.
 
Dah! Hii Kitu Ni Ulevi Ukute Mpishi Kafaulu Walaji Muwe Wengi Yaani Kama Ligi Hivi
 
Mi na utu uzima huu kitu wali ndondo nazi ni balaa, huwa nakula plate kubwa inaisha.

Wadogo wangu wanatamani mama yao awapikie hivyo daily. Huwa anajisemea hawa watoto hawana gharama za matunzo ni kujaza maharage ndani basi imeishaa😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…