Kwanini watu hawa wakikuambia hawana hela lazima utasema wanadanganya hata kama wanasema ukweli?

Kwanini watu hawa wakikuambia hawana hela lazima utasema wanadanganya hata kama wanasema ukweli?

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
- Mbaba anayemiliki kipara hasa kile cha kung'aa

- Mbaba mwenye kitambi

- Mbaba anayevaa suti akiongezea na tai ndo ina thibitisha ana vibunda vya kutosha

- Mbaba yeyote anayevaa miwani hata kama ni ile miwani ya kuwa na matatizo ya macho hawa watu hawakosi mpunga.

- Mtu yoyote unayemkuta anayeendesha gari - hapa kutegemea na maeneo itajumuisha magari ya aina zote hata kama ni hizi baby woka na hata kama hilo gari sio lake.

- Mshangazi yoyote wenye kitambi. huyu akiwa waitiwaiti atakuwa na mpunga mwingi zaidi kuliko hawa wengine wa rangi zingine.

- Mtu yoyote anayeitwa meneja. meneja anakosaje hela kwa mfano? sasa nini maana ya kuwa meneja? meneja lazima awe na hela hata kama ni meneja wa Klabu ya soka ya Kidongochekundu fc.

Ongezea....
 
- Mbaba anayemiliki kipara hasa kile cha kung'aa

- Mbaba mwenye kitambi

- Mbaba anayevaa suti akiongezea na tai ndo ina thibitisha ana vibunda vya kutosha

- Mbaba yeyote anayevaa miwani hata kama ni ile miwani ya kuwa na matatizo ya macho hawa watu hawakosi mpunga.

- Mtu yoyote unayemkuta anayeendesha gari - hapa kutegemea na maeneo itajumuisha magari ya aina zote hata kama ni hizi baby woka na hata kama hilo gari sio lake.

- Mshangazi yoyote wenye kitambi. huyu akiwa waitiwaiti atakuwa na mpunga mwingi zaidi kuliko hawa wengine wa rangi zingine.

- Mtu yoyote anayeitwa meneja. meneja anakosaje hela kwa mfano? sasa nini maana ya kuwa meneja? meneja lazima awe na hela hata kama ni meneja wa Klabu ya soka ya Kidongochekundu fc.

Ongezea....
Haya mawazo yako ungeyapelekea kwa wenzako wa kule facebook yangewafaa zaidi ila uku jf sio mahala pake....uku ni kwa ma great thinkers mkuu!!
 
- Mbaba anayemiliki kipara hasa kile cha kung'aa

- Mbaba mwenye kitambi

- Mbaba anayevaa suti akiongezea na tai ndo ina thibitisha ana vibunda vya kutosha

- Mbaba yeyote anayevaa miwani hata kama ni ile miwani ya kuwa na matatizo ya macho hawa watu hawakosi mpunga.

- Mtu yoyote unayemkuta anayeendesha gari - hapa kutegemea na maeneo itajumuisha magari ya aina zote hata kama ni hizi baby woka na hata kama hilo gari sio lake.

- Mshangazi yoyote wenye kitambi. huyu akiwa waitiwaiti atakuwa na mpunga mwingi zaidi kuliko hawa wengine wa rangi zingine.

- Mtu yoyote anayeitwa meneja. meneja anakosaje hela kwa mfano? sasa nini maana ya kuwa meneja? meneja lazima awe na hela hata kama ni meneja wa Klabu ya soka ya Kidongochekundu fc.

Ongezea....

Nyakati zimebadilika... hizi sifa zote ni za matapeli wapya mujini
 
Tufanye kazi na kama kazi hakuna basi tutafute kwa hali na mali hi itapunguza kijana kuwa idle mda wote..

Kwanini nakushauri
Nakushauri haya yote kwa sababu wewe ni kijana ambaye hapo badae utakua ni baba wa familia hivo bila kumbana sasa hivi hapo badae utajuta


Mda ndio huu
Badae=Baadae✔️
Mda=Muda✔️
Hivo=Hivyo✔️
 
mkuu mbaba wa watu mwenye heshima zake kitaa unamwita tapeli🤣
😀 😀 what do you expect! unategemea yule anayeonekana kibaka kibaka ndio awe tapeli. Matapeli wako smart, mavazi, muonekano na kichwani kumejaa nondo. Ukimuona tu hofu inakuondoka.... hapo utatapeliwa utamuuu
 
😀 😀 what do you expect! unategemea yule anayeonekana kibaka kibaka ndio awe tapeli. Matapeli wako smart, mavazi, muonekano na kichwani kumejaa nondo. Ukimuona tu hofu inakuondoka.... hapo utatapeliwa utamuuu
Haahaa
 
- Mbaba anayemiliki kipara hasa kile cha kung'aa

- Mbaba mwenye kitambi

- Mbaba anayevaa suti akiongezea na tai ndo ina thibitisha ana vibunda vya kutosha

- Mbaba yeyote anayevaa miwani hata kama ni ile miwani ya kuwa na matatizo ya macho hawa watu hawakosi mpunga.

- Mtu yoyote unayemkuta anayeendesha gari - hapa kutegemea na maeneo itajumuisha magari ya aina zote hata kama ni hizi baby woka na hata kama hilo gari sio lake.

- Mshangazi yoyote wenye kitambi. huyu akiwa waitiwaiti atakuwa na mpunga mwingi zaidi kuliko hawa wengine wa rangi zingine.

- Mtu yoyote anayeitwa meneja. meneja anakosaje hela kwa mfano? sasa nini maana ya kuwa meneja? meneja lazima awe na hela hata kama ni meneja wa Klabu ya soka ya Kidongochekundu fc.

Ongezea....
Kuna point 👉 zaidi ya tatu hapo zimenigusa Sana Sanaa..
 
Back
Top Bottom