Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,391
- 3,849
Wana Jf,
Watu wengu hupendelea sana kula Pilau siku ya Ijumaa, huu utamadumi umetoka wapi na nani mwanzilishi wa utamaduni huu. Kwanini watu huamua kwua ijumaa tu ndio siku ya pilau.
Mwenye maelezo yaliyonyooka na historia fupi atusaidie.
Watu wengu hupendelea sana kula Pilau siku ya Ijumaa, huu utamadumi umetoka wapi na nani mwanzilishi wa utamaduni huu. Kwanini watu huamua kwua ijumaa tu ndio siku ya pilau.
Mwenye maelezo yaliyonyooka na historia fupi atusaidie.