Kwanini watu hupigia kelele ushoga tu na kusahau makundi haya?

Kwanini watu hupigia kelele ushoga tu na kusahau makundi haya?

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari!

Kuna makundi 2 kama si 3 yamesahaulika ingawa wanachokitenda hakina utofauti na ushoga.

1. Wanawake wenye tabia za kiume
Hili kundi limekuwa kubwa sana na linakua kwa kasi. Vibinti vinavaa suruali, t-shirt, na nguo zingine za kiume. Hawa hata misibani hawakai kwa wanawake wenzao. Wanaboa sana hawa watu.

2. Wanawake wanaoingiliwa kinyume na maumbile
Hili halina utofauti na ushoga, tena yawezekana ni baya zaidi ya ushoga, maana njia ya kuwaingilia ipo ila mwanaume aidha kwa tamaa yake au tamaa ya mwanamke wanaiacha ile njia na kubuni njia yao. Jamii hawalichukulii kwa uzito kwakuwa ni wanawake, maana wanaume ndio wapiga kelele.

3. Usagaji
Hili suala pia ni tatizo kama ushoga ila kwakuwa linafanywa na wanawake basi halipigiwi kelele. Mapenzi ni baina ya jinsia 2 tofauti na si vinginevyo.

Je, jamii imezibagua hizi dhambi na kuzicategory?

Je, jamii imejaa unafiki kwa kuibariki dhambi hii na kuikemea dhambi ile?

Ushoga ni mbaya tena sana, unaondoa utu wa mtu ila hauna utofauti na usagaji na hawa mabinti sijui mnawaita ma tomboy ambao wanaikimbia jinsia yao.
 
WANAUME sukeni jichubueni na kuweni mashoga na tugombanie mabwana harafu tubaki tunawaangalia tu BASI tuseme wanawake wasagaji wanakisa WANAUME haya nani WANAUME mtasema mmekosa wanawake? Siwatetei maana WOTE hizo ni laana
 
Namba 1 wanakera sana sijui wanajikutaje. Halafu wengi wana sura ngumu wamejificha kwenye kivuli cha utomboy.

Mtu unajifanya dume lakini kila mwezi unakua mwanamke. Na wengi wao huangukia kwenye namba 3.
Namba 2 hao ni ngumu kuwatambua labda awe ameharibika kabisa
 
Unaposema Ni faragha basi,iwe faragha kweli Sasa kiasi Cha wewe kujitanabaisha hapa Kama we na huyo demu wako mnafanya vitu hivyo si faragha tena

Bora ungekaa kimya
Ni wapi nimesema ninakula kisanvu cha demu wangu ama demu wangu ni wewe umeamua kuanika ya chumbani kwetu?.
alafu mimi nimeamua kuwateten nyie coz iman yenu imeruhusu kufanya hivyo.
 
wewe ni liongo na lisingiziaji.
ni wapi nimesema ninakula kisanvu cha demu wangu ama demu wangu ni wewe umeamua kuanika ya chumbani kwetu?.
alafu mimi nimeamua kuwateten nyie coz iman yenu imeruhusu kufanya hivyo.
Wewe endelea tu na ushoga wako ila usitake kuuhalalisha kwa kutumia imani za watu wengine ambazo akili yako haina uwezo wa kutafsiri andiko na kulielewa,gawa tope tu huko.
 
Back
Top Bottom