Kwanini watu hutakatisha fedha?

Kwanini watu hutakatisha fedha?

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
20210316_174438_0000.png


Shida kubwa ya kupata kiasi kikubwa cha fedha isivyo halali (haramu) ni kwamba huwezi kuzitumia fedha hizo kwenye mazingira ya kawaida

Watu wanaojihusisha kwenye matukio ya kihalifu hawawezi kutumia fedha zao kwa uhuru, kwasababu vyombo vya sheria vitawafuatilia na kuzuia matumizi yake

Ndiyo maana watu wanaohusika na matukio haya haramu hulazimika kutafuta njia za 'panya' ili waweze kutakatisha fedha zao kabla ya matumizi
 
Upvote 0
sikU hizi ukikutwa na uhujumu UCHUMI,

hapo hapo umetakatisha fedha na hapo hapo pia umeshaunda genge la uhalifu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom