Unajua unaweza ukawa umefall in love kwa mwanaume kupita kiasi lakini yeye hakupendi, ili ufaidi lile penzi ni vyema kutumia njia mbadala kama kuloga, au kutumia pesa.
Inaezekana ndio. Unaeza kua unampenda mwenzio afu akawa na labda tabia ambazo huzipendi na ukiangalia hawezi kubadilika, kuepusha msongamano unaamua kumwacha huku bado unampenda.