Salamu ya kinafki sanaa inamfanya mpokeaji aanze kujitafakari mpaka huyu ananisalimia wengine mamiili jumba umri punje alafu unamsalimia mtu mwili punje umri jumba ataitikia kwa bashasha kwelii?
Shikamoo mwisho 25yrs ukivuka hapo salimia wazee wenzio habari inatosha.
Hili tatizo Kwa Dar es salaam limekuwa sugu.yaani unamuona jimama lizee kabisa unampa shikamoo anakuitikia kwemaaa?Kwa Sasa Mimi hata kama ni mzee namsalimia habari mzee?nitawapa shikamoo wazee wangu pekee wa kunizaa.