Kwanini Watu wa Medani hizi Kubwa, Nyeti na Muhimu hapa Tanzania huwa hawapendi Kuoana wao kwa wao?

Kwanini Watu wa Medani hizi Kubwa, Nyeti na Muhimu hapa Tanzania huwa hawapendi Kuoana wao kwa wao?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ni nadra sana kuona Watu wa ' Medani ' hizi Kubwa tatu ( 3 ) nchini Tanzania Kuoana wao kwa wao na kila unayekutana nae na ukimuuliza tu atakuambia ni bora asioe kuliko Kuona mwana ' Medani ' mwenzeke kwa sababu ambazo kiukweli wengi huwa hawazisemi na wanazificha.

Medani zenyewe hizo kubwa tatu ni hizi zifuatazo:

  1. Ile yenye Makao Makuu yake Upanga japo sasa inahamia Dodoma
  2. Ile yenye Makao Makuu yake Oysterbay jirani ya Kanisa la Mtakatifu Petro
  3. Ile yenye Makao Makuu yake Posta mpya jirani na Jengo la Exim Bank
Nayasubiri majibu yetu ya ' Kutukuka ' ili nami leo niweze kujua ni kwanini hawa wana ' Medani ' wa ' Kada ' hizo kubwa, nyeti na muhimu huwa hawapendi na wanaogopana mno Kuoana na kuishi pamoja.

Nawasilisha.
 
Kabla ya kusema hayo, tuletee data za kipindi hicho ambacho unadhani walikuwa wakioana wenyewe kwa wenyewe.

Hata hivyo, ni hali tu ya kujinafasi katika maisha. Wao pia ni binadamu, wanaohitaji kuwa na watoto na familia kwa ujumla.

Kuoana na mtu ambaye majukumu yenu yanawabana sana, itawanyima muda wa kuwa na familia na malezi ya watoto kwa ujumla.

Watoto watakosa malezi ya wazazi kwa kiwango kinachostahili kwani kuwa busy sana na kazi. Hivyo, heri muoane wa field tofauti. Mmoja awe loose kidogo.

Pili, sehemu kubwa jinsia ke wa medani hizo huwa na sura isiyopendeza sana. Hivyo huwalazimu wenzao kwenda kuwasaka wa field zingine.
 
Kabla ya kusema hayo, tuletee data za kipindi hicho ambacho unadhani walikuwa wakioana wenyewe kwa wenyewe.

Hata hivyo, ni hali tu ya kujinafasi katika maisha. Wao pia ni binadamu, wanaohitaji kuwa na watoto na familia kwa ujumla.

Kuoana na mtu ambaye majukumu yenu yanawabana sana, itawanyima muda wa kuwa na familia na malezi ya watoto kwa ujumla.

Watoto watakosa malezi ya wazazi kwa kiwango kinachostahili kwani kuwa busy sana na kazi. Hivyo, heri muoane wa field tofauti. Mmoja awe loose kidogo.
GENTAMYCINE Usimtafunie mwache atafune mwenyewe.
 
Ni nadra sana kuona Watu wa ' Medani ' hizi Kubwa tatu ( 3 ) nchini Tanzania Kuoana wao kwa wao na kila unayekutana nae na ukimuuliza tu atakuambia ni bora asioe kuliko Kuona mwana ' Medani ' mwenzeke kwa sababu ambazo kiukweli wengi huwa hawazisemi na wanazificha.

Medani zenyewe hizo kubwa tatu ni hizi zifuatazo:

  1. Ile yenye Makao Makuu yake Upanga japo sasa inahamia Dodoma
  2. Ile yenye Makao Makuu yake Oysterbay jirani ya Kanisa la Mtakatifu Petro
  3. Ile yenye Makao Makuu yake Posta mpya jirani na Jengo la Exim Bank
Nayasubiri majibu yetu ya ' Kutukuka ' ili nami leo niweze kujua ni kwanini hawa wana ' Medani ' wa ' Kada ' hizo kubwa, nyeti na muhimu huwa hawapendi na wanaogopana mno Kuoana na kuishi pamoja.

Nawasilisha.
Tutajie sio wote tunajua ,upanga .posta tutajie medani zipi wacha kumung'unya maneno chalii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unahic JF ni wanadar es salaam peke yake tena wenye kufatilia HQ za izo taasisi? kama huwezi kutaja jina la sector acha bla bla bla
 
Mie kwetu Iringa. Hebu zitaje. Mie hapo Upanga sipajui wsla Oysterbay.
 
Kamuulize Mangi Kimambe sisi hatujui
 
Mleta una akili ndogo sana sizan kama zinakutosha nyambafu wewe kwa akili yako hiyo ndogo unazan kila mtu ni wa dar siyo? Upanda ndo wap bull shit

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si kweli! Oyesrerbay mbona sana tu "mbwa kala mbwa"??


Upanga ni nadra kwa ofisa kuoa/ kuoana na afisa mwenzake /askari aliye chini yake (Kuna restrictions)
Hao vidampa wa hapo exim hawanaga lolote nawafananisha na walimu wa sekondari tu na Mara nyingi wanaoa askari magereza!


Nakusalim Dada yangu mpenzi Jane aka GENTAMY
 
Back
Top Bottom