Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 180
Status yangu ni none of the above!!!
Sijui kwa kweli kama sex inaweza bore, nakubali unaweza kuwa bored na partner lakini sex mmmmhhh acha utani bana......najua kuna couple hawaongei ila wanakulana mipini ile mbaya...
Mie nashangaa Waschana wa kuoa hata bikira wapo kibao..yet unakuta mtu anahangaika na mke wa mtu!
Maadili yako wapi?
I am not kidding and i am positive kuwa if you are willing to make thing work..., it will work...!sema tamaa za dunia zimefanya watu wafikirie kuwa otherwse kama wewe unavyosema mbona a lot of our parents mpaka leo bado wapo na wana deal na wamama zetu hadi leo hii...thet still stand strong to each other...ila ukiweka na material stuff kwenye ndoa that is when itakapoanza kupinda na kufanya maporomoko na kutoelewana ndani ya nyumba....if you want to make things work ni trust and support...
Hapo uko sawa kabisa.. Kelly01, je walengwa wanaelewa hilo....!!
Most men cheat becaus wake zao aidha wachafu,wakorofi,wanacheza kivivu kitandani,wanacheza wanapotaka wao,hawajui kupika,wanapika wanapotaka na mwisho wake zao hawawaonyeshi mapenzi ndani ya nyumba na wanajaribu kuwa waume kwa waume zao.
SAHIBA.
Haya..Kelly, Massanilona NN rudini kwenye topic LOL
"kwa nini watu wanacheat"?
Kelly01, Masanilo, Nyani Ngabu, Yo Yo et al ....You made my day. Nimecheka mbavu sina. Itabidi hapa JF tuwe na somo la lugha kama Kisukuma Vile.
Oh mwayego, kalumbu. Ogonile!!! Uswanu!!! Namnani, ....chedi, Shimboni, Mwasipota na Tasipota. Du Lugha kibao. Afadhali walisema Kiswahili iwe lugha ya Taifa, japo nafikiri wangeamua tu English iwe Lugha ya Taifa. good day.
Haya..Kelly, Massanilona NN rudini kwenye topic LOL
"kwa nini watu wanacheat"?
Old good days!!..wamepotea hao watu esp. KELLY..wapi upo schoolmate aka cupcake wa mtu fudenge???
Uchokozi huo Belinda :lol: