Kwanini watu wanafumba macho wakati wa kubusiana?

Kwanini watu wanafumba macho wakati wa kubusiana?

mtoto wa mfugaj

Senior Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
136
Reaction score
29
Uzoefu unaonyesha watu wengi hufumba macho wakati wa kupiga denda na wakati wa kubusiana,kama unabisha jaribu kupiga busu uone kama hautafumba macho,swala ni kwanini naombeni majibu
 

Attachments

  • IMG014232011070901171.jpg
    IMG014232011070901171.jpg
    37 KB · Views: 1,221
Zile feeling unazozipata wakati unafanya kile kitendo so nice one
 
Uzoefu unaonyesha watu wengi hufumba macho wakati wa kupiga denda na wakati wa kubusiana,kama unabisha jaribu kupiga busu uone kama hautafumba macho,swala ni kwanini naombeni majibu


an interesting question anyway.............................
lakini huku kufumba macho ni kwa jinsia zote au vipi?nadhani akina dada ndo huwatokea sana hii................
tuendelee kusikiliza........
 
Mkuu, hiyo inatokea automatically, ukifunga macho unaondoa mambo yote unayoweza kuyaona na kuweka concentration yote kwenye utamu wa kicho kitendo cha kula denda.
Sio tu wakati wa kubusiana, ila wengine hata tukiguswa zile sehemu ambazo zinasisimua, tunajikuta tunafunga macho.
 
macho ndo kila kitu sasa inategemea unabusu wapi au nani lkn ukibusu usiku gizani ufumbi macho . Nahisi tunaogopa yatapasuka kwa mvu5 wa busin'
 
an interesting question anyway.............................<br />
lakini huku kufumba macho ni kwa jinsia zote au vipi?nadhani akina dada ndo huwatokea sana hii................<br />
tuendelee kusikiliza........
<br />
<br />
ukikutana na mwanamke mwIZI huwaga afumbi macho
 
Ni kuongeza mahisia mkuu,ukifumbua macho mkuu hisia zinapungua jaribu uone,labda iwe ni mke wa mtu au ni demu umebambia kitaa uchochoron ndio utafumbua macho kuogopa fumaniz
 
kwa sisi wataalam wa malavidavi hii inaonyesha true love, hata siku moja jambazi wa mapenzi hawezi kufunga macho yake anapokiss. There is an old saying 'never trust a man or a woman who doesnt close his or her eyes when you kiss.'
 
mh..mie hata sijawahi kufikiria kama nimefumba au fumbua macho. Need to research on this, Anyways ni swali zuri ngoja tuwasikilize wajuzi zaidi
 


Wanafanya dhambi that's why kila mmoja wao anavumba macho akijifanya haoni kumbe cc tunaona!!!.......
 
Siku akishuka wangu kutoka mbinguni nitakodoa nijue inakuaje!
 
an interesting question anyway.............................
lakini huku kufumba macho ni kwa jinsia zote au vipi?nadhani akina dada ndo huwatokea sana hii................
tuendelee kusikiliza........

hiyo ni kwa wote haina ubaguzi kama picha zinavyoonyesha
 
Back
Top Bottom