Pole, ndo mambo ya ndo hayo, ila inaoneka kuna kitu, hata kama umeamua kucheat huwezi kuacha mambo yako hadharani hadi mwenzi wako ayaone. Na ninavyojua, kesha danganywa huyo, anatafuta sababu muachane, wewe muache aende zake lkn nakuhakikishia ipo siku isiyo na ina atakutafuta tena akiwa anatembelea magoti but atakuwa amechelewa sana