Kwanini watu wanaogopa kujamba kwa sauti?

Kwanini watu wanaogopa kujamba kwa sauti?

mdundo ngoma sana

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2016
Posts
1,002
Reaction score
955
Kama kukohoa tunakohoa,kama chafya tunapiga,kama makamasi tunapenga hadharani.sasa wanasayansi wamethibitisha kujamba kunapunguza saratani na shambulio la moyo.kwa hiyo JIJAMBIE KWA AFYA RAFIKI
 

Attachments

  • IMG-20170710-WA0001.jpg
    IMG-20170710-WA0001.jpg
    73.1 KB · Views: 66
Kuna watu vijambio vyao vina sehem ya kupunguza sauti hahaha

Sent from my C6602 using JamiiForums mobile app
 
ha ha ha ha ha ha haaa

Sent from my Che2-TL00 using JamiiForums mobile app
 
Wazungu kujamba ni furaha kubwa sana ila usibeue gesi yako wakati wa kula utamchefua

Sent from my SM-J700F using JamiiForums mobile app
 
Kama kukohoa tunakohoa,kama chafya tunapiga,kama makamasi tunapenga hadharani.sasa wanasayansi wamethibitisha kujamba kunapunguza saratani na shambulio la moyo.kwa hiyo JIJAMBIE KWA AFYA RAFIKI
Afadhali imethibitishwa maana nilikuwa najibana sana,mpaka nile timing kwenye makelele ya watu ndio nilikuwa naachia,lakini kuanzia sasa kwa raha zangu...
 
Why kujamba ufanye siri wakati kula unakula? Me najiachia kwa raha zangu

Sent from my Phantom6 using JamiiForums mobile app
 
Pyuuuuuuu! Kwa raha zangu nashangaa mnao ogopa kujamba na huku ni starehe flan iv amzn prapraaaaaaa dididididididi
 
Back
Top Bottom