Bushmaster
JF-Expert Member
- Jan 18, 2022
- 583
- 1,265
Jaman mtambue kua kuvaa miwani ni tiba kama tiba nyingine,ni kama wale wanaovaa hearing aids kuwasaidia kusikia vzuri
Lakini ni kama automatically kuvaa miwani mme connect na akili au IQ na hii niliiona tangu nasoma
Sisi ni watu wa kawaida kama nyie tu,tunapata shida sana huko kwenye interview,tunakomoana maswali mnayoulizwa ni magumu mno hata huko chuo kuna course tulifel tukarudia kwahyo msituone super intelligent
Mpaka mda mwingine nawaza hii course nilioyosoma sikumaliza? mbona graduation nilifanya? Maana unakuta naelezea concept aibu anapata anaeniinterview au mda mwingine waliopembeni wananikonyeza nisiendelee kuzungumzia,acheni nizungumze mpate concept.
Msitufanyie hivyo haya maisha tu
Lakini ni kama automatically kuvaa miwani mme connect na akili au IQ na hii niliiona tangu nasoma
Sisi ni watu wa kawaida kama nyie tu,tunapata shida sana huko kwenye interview,tunakomoana maswali mnayoulizwa ni magumu mno hata huko chuo kuna course tulifel tukarudia kwahyo msituone super intelligent
Mpaka mda mwingine nawaza hii course nilioyosoma sikumaliza? mbona graduation nilifanya? Maana unakuta naelezea concept aibu anapata anaeniinterview au mda mwingine waliopembeni wananikonyeza nisiendelee kuzungumzia,acheni nizungumze mpate concept.
Msitufanyie hivyo haya maisha tu