johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Najiuliza tu kwanini wafuasi wa Chadema waliokuwa wanamchukia Shujaa Magufuli ndio hao hao Leo wanamchukia mno Tundu Antipas Lisu
Akina Maranja, Yeriko na Boni Yai wakiongoza
Sijajua tatizo ni nini!!!
Ahsanteni sana 😄
Akina Maranja, Yeriko na Boni Yai wakiongoza
Sijajua tatizo ni nini!!!
Ahsanteni sana 😄