Kwanini watu wengi huogopa Hesabu?

Write the distance of any point of a line Y=mx c from the origin as a function of x , hence find the coordinate of the point on the line Y=2x 5 which is closest to the origin.

naombeni msaada tafadhali

Akida umechepuka nje ya mada, kama uko shule au tuition nakushauri uwaone waalimu wako watakupa msaada na kulielewa swali lako vizuri.
 
walimu wajitahidi kujenga mazingira rafiki kwa wanafunzi kupenda somo hilo, lkn pia walimu wawe ni wale waliobobea ktk somo husika na ualimu pia, maana kumfundisha mtu mpaka akuelewe ni kipaji pia

Hii ni sababu moja kubwa na ya msingi atoto, japo walimu wa jinsi hiyo ni adimu au wamekuwa frustrated na mazingira ya kazi zao.
 
xo kama math's iko hard xema imezoeleka hivo bt guyz "u can achive anything if u believe" n if u wanna b sumbad,if u wana go sum wea u better wakeup n pay attention"! mbna maths iko normal2 az biology xema bios notes nyng n math number nyng

andika vizuri mkuu, usijali kuhusu server
 
Walimu wenyewe wa hesabu kama ndio hivyo ulivyo,basi ni sababu moja wapo ya wanafunzi kufeli.
 
Write the distance of any point of a line Y=mx c from the origin as a function of x , hence find the coordinate of the point on the line Y=2x 5 which is closest to the origin.

naombeni msaada tafadhali

Coordinates of the point on a line y=2x +5 closest to origin is (-2,1). upo hapo
 
Write the distance of any point of a line Y=mx c from the origin as a function of x , hence find the coordinate of the point on the line Y=2x 5 which is closest to the origin.

naombeni msaada tafadhali

Coordinates of the point on a line y=2x +5 closest to origin is (-2,1)
 

(A+B)h/2
(8+5)*10/2
13*10*0.5
Area=65cm square.

Nb
Lugha uliyotumia si nzuri!!
 
xo kama math's iko hard xema imezoeleka hivo bt guyz "u can achive anything if u believe" n if u wanna b sumbad,if u wana go sum wea u better wakeup n pay attention"! mbna maths iko normal2 az biology xema bios notes nyng n math number nyng

Kama hujui kuandika hesabu utaweza kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…