Msingi_Kiuno
Member
- Feb 22, 2017
- 86
- 126
acha kunivunja mbavu.... utamu wake ukoje?Umbea ni mtamu sana
uwiiiiiiiii................Ndio inavyokuwa kwani hujaona tu bado hata thread yako kwa sababu sio ya kimbea ndio maana imekosa hata mashabiki.
Hahahaauwiiiiiiiii................
wanaouza habari za uwekezaji, uchumi, biashara nk wanapata soko kwa tabu sana.
your point makes sense to me......Ni kwa sababu binadamu tunapenda kuchunguza na kuyajua ya watu kuliko yetu binafsi
ha ha ha haaaa........ mbavu zangu mie. kwaiyo umbea unapunguza stress kwa kutoa faraja nafsini?Fikiria mtu katoka kazin amefokewa na boss, nyumbani wife au husband kawa pilipili watoto ada hujui utaipata vipi utataka tena kusikiliza habar za uwekezaji?
Bora ujue ya Bashite uongeze siku
kabisa mkuuha ha ha haaaa........ mbavu zangu mie. kwaiyo umbea unapunguza stress kwa kutoa faraja nafsini?