Kwanini watu wenye kipato cha chini hudharau wenye kipato cha chini wenzao?

Saint_Mwakyoma

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
865
Reaction score
1,208
Kumekua na wimbi kubwa la malalamiko ya watu kwa marafiki, ndugu hata wapenzi ambao vipato vyao ni vidogo au vya Kati ; kunyanyasana, kuchukuliana kawaida , kupotezeana mpaka kufikia kuvunjiana heshima nk.

Lakini linapokuja swala la watu kipato cha chini kuwa karibu na watu wa kipato cha juu uwezi amini tabia zao huwa ; wapole, wasikivu, wanajali Sana kupita kawaida mpaka unaweza omba Mungu akupe mwengine Kama yeye.

Ila ukikutana na wanaowajua kiundani mpaka mahali wanapoishi hutaamini sifa zao kuwa wanazalau.
KWA KWELI NINGEPENDA KUJUA HIKI KITU KINASABABISHWA NA NINI?
 
Ukiwa huna kitu hata kunguru watakudharau, watakunyea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…