Twinawe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2016
- 2,431
- 5,336
Habari ndugu zangu sipo hapa kudhihaki wala kukosoa uumbaji wa Mungu au kumtukana yeyote kwa namna yeyote ile naomba atakayekwazika na swali langu anisamehe ndugu zangu.
Nimekuwa nikijiuliza, kwanini hawa watoto au watu wenye mtindio wa ubongo /matatizo ya akili kwa kiasi kikubwa sura zao huwa zinafanana haijalishi ni ke au me?
Ukiangalia wengi wana macho makubwa na nywele kama za kisomali. Kwanini iko hivyo na ufanano wao unatokana na nini mbona sio kama vichaa(Vichaa hawafanani kila kichaa yuko kivyake)?
Nakaribisha maoni wadau naamini wenyeji wa Kilimanjaro mtakuwa mashahidi kwa hili especially maeneo ya vijijini ndo wapo kwa wingi kulinganisha na sehemu yoyote Ile.
Nimekuwa nikijiuliza, kwanini hawa watoto au watu wenye mtindio wa ubongo /matatizo ya akili kwa kiasi kikubwa sura zao huwa zinafanana haijalishi ni ke au me?
Ukiangalia wengi wana macho makubwa na nywele kama za kisomali. Kwanini iko hivyo na ufanano wao unatokana na nini mbona sio kama vichaa(Vichaa hawafanani kila kichaa yuko kivyake)?
Nakaribisha maoni wadau naamini wenyeji wa Kilimanjaro mtakuwa mashahidi kwa hili especially maeneo ya vijijini ndo wapo kwa wingi kulinganisha na sehemu yoyote Ile.