Kwanini waume wa Marais wa kike hawapewi kipaumbele na jamii?

Kwanini waume wa Marais wa kike hawapewi kipaumbele na jamii?

KAWETELE

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2015
Posts
700
Reaction score
1,674
Ruto kashinda Urais Kenya tunaoneshwa picha zake za zamani akiwa na MKE WAKE.

Nakumbuka pia Obama alishinda Urais tukaona picha zake za zamani akiwa na MKE WAKE..

Na Mara hizi zote nimeshuhudia watu wakisifu kuwa hawa wanawake "walivumilia sana maisha ya waume zao na kuwasaidia kufikia ndoto zao"

Yawezekana ni kweli na kuwasifu ni Jambo jema sana.

Sasa

Tanzania tuna Rais Mwanamke mbona hatukuona picha na mme wake enzi hizo?

Basi tuachane na picha mbona hatusikii hata sifa kwa "kumvumilia" mke wake kufikia ndoto zake? 😂

Binafsi hata nikikutana na mme wa Rais Samia sitaweza kumtambua😄

Si kwa Rais Samia tu hata kwa mataifa mengine yaliyowahi kuwa na Rais Mwanammke nimechunguza waume zao hawapewi "credits" kabisa.

Sifa hazigawanywi mwanamke anapofanikiwa ila mwanamme akifanikiwa zinagawanywa 😂

Je, hivi ni kweli sisi wanaumme hatuna mchango kwenye kufanikiwa kwa wake zetu? Na kama ni ndiyo,Kwanini hatuwi hatupewi recognition?

Ama tuliwaambia hatupendi kusifiwa? 😂

Nawaza tu.

Credit. Dr Baraka Marco Nkondo Fb page.
Screenshot_20220816-000530~2.jpg
 
Mchongo upo sema media ndo hazina mchongo na mafanikio ya mwanaume kupitia wake wao
 
Mwanamke ni msaidizi kwa mwanamme na si kinyume chake, wala hana ndoto binafsi za kutimiza….. hivyo ukizaliwa mwanamme pambana tu.
 
Ruto kashinda urais Kenya tunaoneshwa picha zake za zamani akiwa na MKE WAKE..

Nakumbuka pia Obama alishinda urais tukaona picha zake za zamani akiwa na MKE WAKE..

Na Mara hizi zote nimeshuhudia watu wakisifu kuwa hawa wanawake "walivumilia sana maisha ya waume zao na kuwasaidia kufikia ndoto zao"

Yawezekana ni kweli na kuwasifu ni Jambo jema sana.

Sasa

Tanzania tuna Rais Mwanamke mbona hatukuona picha na mme wake enzi hizo?
Basi tuachane na picha mbona hatusikii hata sifa kwa "kumvumilia" mke wake kufikia ndoto zake? [emoji23]
Binafsi hata nikikutana na mme wa Rais Samia sitaweza kumtambua[emoji1]

Si kwa Rais Samia tu hata kwa mataifa mengine yaliyowahi kuwa na Rais Mwanammke nimechunguza waume zao hawapewi "credits" kabisa.

Sifa hazigawanywi mwanamke anapofanikiwa ila mwanamme akifanikiwa zinagawanywa [emoji23]

Je hivi ni kweli sisi wanaumme hatuna mchango kwenye kufanikiwa kwa wake zetu? Na Kama Ni ndiyo,Kwanini hatuwi hatupewi recognition?

Ama tuliwaambia hatupendi kusifiwa? [emoji23]

Nawaza tu.

Credit. Dr Baraka Marco Nkondo Fb page.View attachment 2325412

Mke wa pili hivyo hakuna kipaumbele saanaa kwa mume maana mke mkubwa yupo tumwache mama afanye kazi kwa uhuru
 
Ni aibu mkeo kuwa raisi wa nchi mkuu!

maana deep down watu watakuona kama marioo no matter una pesa ngapi1

hivyo mi naona bora kutokusifiwa kama ilivyo sasa.

Hata kama mkeo ni mke wa mitala bado ni aibu?

Kama una wake wengine je
 
Mke wa pili hivyo hakuna kipaumbele saanaa kwa mume maana mke mkubwa yupo tumwache mama afanye kazi kwa uhuru
Hivi huwa mna pata wapi hizi taarifa.. ? Tuliwahi ambiwa pia jiwe hana mke.. Kumbe mama Jesca yupo
 
Back
Top Bottom