Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Thread was deleted
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamfahamu Ibn Sina[emoji1]Wamesoma kitabu kilicho kamilika.
[emoji1]Kina elimu zote ikiwepo ya udaktari.
[emoji1]Hao unsowaona ni wahitimu kama wale waliosoma Muhimbili miaka 7 ila tofauti wa muhimbili wametumia vitabu vya kidunia na hao wa alkadusi wametumia kitabu kilichoteremshwa.
[emoji1]Wapo wabobezi wa idara mbalimbali kama wauzaji wa dawa za Kisuna, za kuongeza nguvu za...., Mvuto wa mapenzi na za majini.
[emoji1] Hospitali zao ni tofauti kidogo ni za kuweka meza karibu na nyumba za ibada au kutembeza mitaani
Asili yake ni uarabuniSamahani kwa anaefahamu
Nataka kuanza ku supply hicho kinywaji
Je, nisipo vaa kanzu itaathiri upatikanaji wa wateja??
Wajuzi karibuni
Picha kwa hisani ya google&facebookView attachment 2599478
Hakuna maana yoyote kuuza Al kasus na kuvaa kanzuSamahani kwa anaefahamu
Nataka kuanza ku supply hicho kinywaji
Je, nisipo vaa kanzu itaathiri upatikanaji wa wateja??
Wajuzi karibuni
Picha kwa hisani ya google&facebookView attachment 2599478
Tangawizi, mdalasini , kungu manga asili, Habat Sawda , hulbaSamahani kwa anaefahamu
Nataka kuanza ku supply hicho kinywaji
Je, nisipo vaa kanzu itaathiri upatikanaji wa wateja??
Wajuzi karibuni
Picha kwa hisani ya google&facebookView attachment 2599478