johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nimekuwa nafuatilia kwa karibu namna Mawaziri wa afya barani Afrika wanavyotimiza majukumu yao katika kupambana na Corona.
Wengi wao wanatumia muda mwingi katika kuelezea hatua ya mapambano hayo yalipofikia na matarajio ya nchi zao mbele ya safari.
Lakini kidogo nimeona tofauti kwa approach ya waziri Ummy Mwalimu ambaye anatumia muda wake mwingi kupokea misaada ya Sabuni, Sanitizer na Barakoa ambapo hutumia hafla hizo kuhimiza wananchi kunawa mikono.
Mdau unaionaje hii approach ya Ummy ina tija au hayo majukumu ya kupokea misaada angewaachia DCs na RCs?
Maendeleo hayana vyama!
Wengi wao wanatumia muda mwingi katika kuelezea hatua ya mapambano hayo yalipofikia na matarajio ya nchi zao mbele ya safari.
Lakini kidogo nimeona tofauti kwa approach ya waziri Ummy Mwalimu ambaye anatumia muda wake mwingi kupokea misaada ya Sabuni, Sanitizer na Barakoa ambapo hutumia hafla hizo kuhimiza wananchi kunawa mikono.
Mdau unaionaje hii approach ya Ummy ina tija au hayo majukumu ya kupokea misaada angewaachia DCs na RCs?
Maendeleo hayana vyama!