Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwanini hamna hata mmoja ambaye ameenda maana kujenga msikiti tu haitoshi
kama namuona alhaji naniliu akikata maungo kama chizi hiviWakienda huko wakirudi hawatoruhusiwa kukata mauno tena wala kuvaa heleni puani
Ova
unamjua Al-haj Pogba? huyo licha ya kwenda huko bado anaweka hereni masikioniWakienda huko wakirudi hawatoruhusiwa kukata mauno tena wala kuvaa heleni puani
Ova
Na pombe akapiga au mbona naskia ukienda Huko ukirudi hutakiwi kufanya maeneo ya uovu mm naona kwenda Huko Siku Hizo imekuwa fashion tuunamjua Al-haj Pogba? huyo licha ya kwenda huko bado anaweka hereni masikioni
sehem ya utaliiNa pombe akapiga au mbona naskia ukienda Huko ukirudi hutakiwi kufanya maeneo ya uovu mm naona kwenda Huko Siku Hizo imekuwa fashion tu
Ova
NakaziaaNarudia tena kwa mara ya pili, hivi huwa hamna shughuli za kufanya.
Magufuli fanya kama museven kuweka kodi kwenye mitandao ya kijamii wanaume kwa wanawake wanapoteza muda kwenye umbea na udaku.
na huu ndo ukweli. Thread Closed!Wakienda huko wakirudi hawatoruhusiwa kukata mauno tena wala kuvaa heleni puani
Ova