Elections 2010 kwanini!!!! why!!!! ccm kwenye majimbo iliyoshindwa inaweka ngumu kukubali kushindwa?

Elections 2010 kwanini!!!! why!!!! ccm kwenye majimbo iliyoshindwa inaweka ngumu kukubali kushindwa?

komagi

Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
62
Reaction score
2
hii haijakaa njema ccm inatangazaa kukubali matokeo waliposhinda wao kiulaini lakini hali inapokuwa ngumu wao ndo wa kwanza kkuweka ngumu,,,,,,,,,,,,hii haijatulia
 
Bse wana hati miliki ya kuongoza Tz for 100 years
 
Back
Top Bottom