Kwanini yai la kuku liwe juu kuliko..............

mr who

Member
Joined
Mar 22, 2012
Posts
76
Reaction score
15
Kwanini yai la kuku liwe juu kuliko mayai ya ndege wengine? Je yai la bata,kanga,buni hayana vitameni sawa na la kuku? Naombeni majibu wataalmu wa vyakula
 
...stooop...wrong way!


Kuna jukwaa la mapishi wanaweza kukujibu
 
Kumbe na mayai yana vitameni,,loo kumbe nilivyokimbia bioz nilikosa mengi....
 
Haya mambo peleka kule JF Chef huko ni full madikodiko sio hapa..!!
 
Kwanini yai la kuku liwe juu kuliko mayai ya ndege wengine? Je yai la bata,kanga,buni hayana vitameni sawa na la kuku? Naombeni majibu wataalmu wa vyakula

Vitameni duh..bios vipi ulisoma?na je ulishafanya utafiti wa bei?kama ndio hebu tuambie yai la bata,kanga, shilingi ngapi?vp yai la mbuni je?
 
Kwa sababu kuku wanapatikana kiurahisi na kufuga kwake ni rahisi na ladha ya mayai yake ndio imezoeleka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…