Kwanini YANGA IKIFUNGWA TUNATANGAZIWA KUWA IMEKUFA "KIUME"

Kwanini YANGA IKIFUNGWA TUNATANGAZIWA KUWA IMEKUFA "KIUME"

mwembemdogo

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2016
Posts
2,282
Reaction score
1,252
Wanajf naomba ufafanuzi wa kauli za watangazaji wetu wanapotutangazia matokeo ya michezo Kwa timu .Timu mbalimba li zinapochezwa matokeo yao hutangazwa kama kawaida lakini matokeo ya Yanga ndio utasikia Timu ya Yanga imekufa kiume Kwa kufungwa Na TP Mazembe goli 3 Kwa 1.Mie nadhani Kufa in Kufa tu hata. ukifungwa goli moja hakuna kiume au kike .Watangazaji wetu tuache Ushabiki potofu.
 
Kwa sababu. Do pekee i ashiriki michuano mingi.Siku mkipata nafasi mkashiriki na kutolewa ruksa kusema kwamba MMEFUNGWA KI KIKE
 
Wanajf naomba ufafanuzi wa kauli za watangazaji wetu wanapotutangazia matokeo ya michezo Kwa timu .Timu mbalimba li zinapochezwa matokeo yao hutangazwa kama kawaida lakini matokeo ya Yanga ndio utasikia Timu ya Yanga imekufa kiume Kwa kufungwa Na TP Mazembe goli 3 Kwa 1.Mie nadhani Kufa in Kufa tu hata. ukifungwa goli moja hakuna kiume au kike .Watangazaji wetu tuache Ushabiki potofu.
Hivi kufa siku hizi kuna jinsia ya kike na kiume?
 
Haina shida Hata wakifa kiume hawafufuki kike wala kiume ninachojua wamekufa tu
 
Back
Top Bottom