Yanga hatuna mganga mmoja 😂😂😂😂😂😂😂😂 na kila mganga hulipwa kazi ikiisha. Huyu atakuwa mganga wa madunduka katumwa tu.
HIvi siyo tena majini ni waganga? 😅😅😅😅😅 mnahaha sana mapaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.