MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,304
Ni aibu kwa timu kubwa kama Yanga kupiga kelele kila inapofungwa na SIMBA mbona Simba hailalamiki ikifungwa na Yanga?
Tatizo kubwa la Yanga ni mashabiki zake kuingia Uwanjani na matokeo na pia kudanganywa na Wachambuzi Uchwara kuwa timu yao ni bora kuliko timu nyingine.
Mchezo wa Jana ulikuwa fare Refa alijitahidi kwa Uwezo wake Kila timu ilipewa penalti 5 timu yenye wachezaji wanaojua kupiga penati ilifunga na golikipa bora anayejua kuzifuata penalt alizifuata na hatimae timu bora ilishinda na kutwaa ngao ya hisani.
Pongezi wa Uongozi wa TFF waamuzi Yanga na Simba pia Viongozi wa SIMBA Kocha na Wachezaji wote na hasa kipa bora kijana mdogo Ally.
YANGA ACHENI KULALAMIKA mmelowa mmelowa.
Tatizo kubwa la Yanga ni mashabiki zake kuingia Uwanjani na matokeo na pia kudanganywa na Wachambuzi Uchwara kuwa timu yao ni bora kuliko timu nyingine.
Mchezo wa Jana ulikuwa fare Refa alijitahidi kwa Uwezo wake Kila timu ilipewa penalti 5 timu yenye wachezaji wanaojua kupiga penati ilifunga na golikipa bora anayejua kuzifuata penalt alizifuata na hatimae timu bora ilishinda na kutwaa ngao ya hisani.
Pongezi wa Uongozi wa TFF waamuzi Yanga na Simba pia Viongozi wa SIMBA Kocha na Wachezaji wote na hasa kipa bora kijana mdogo Ally.
YANGA ACHENI KULALAMIKA mmelowa mmelowa.