wamkodowenye
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 261
- 291
Kuna kamchezo kaibeba simba ili wabebe ligi kuu maana ukifuatilalia toka huu mzunguko uanze kila mechi lazima aanze yanga alafu ndiyo simba afuatie kuna agenda gani inaendelea hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kuna ubaya gani... mbona muoga hivo,... we s unaongoza lakn?Kuna kamchezo kaibeba simba ili wabebe ligi kuu maana ukifuatilalia toka huu mzunguko uanze kila mechi lazima aanze yanga alafu ndiyo simba afuatie kuna agenda gani inaendelea hapo?
Kwa nini mtegemee mbeleko mbeleko mkia fcSasa kuna ubaya gani... mbona muoga hivo,... we s unaongoza lakn?
Huu upenzi au ujinga?Kuna kamchezo kaibeba simba ili wabebe ligi kuu maana ukifuatilalia toka huu mzunguko uanze kila mechi lazima aanze yanga alafu ndiyo simba afuatie kuna agenda gani inaendelea hapo?
Mkuu pumguza ushamba kidogo!Soccer la Tz.....majungu kwenda mbele.
Naona mkia hii mbeleko sasa inazidi na huko Moro Leo lazima waukalieLazima iwe hivyo.. Maana Yanga wakichukua tena TFF na vodacom wataingia hasara ya kununua kombe jipya