HPAUL
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 410
- 567
Mjini hakukaliki, Yanga tangu wamepata sare na Simba wameshangilia sana matokeo hayo kama vile ambavyo Simba ingeshangilia kupata sare na Real Madrid.
Je, ni kweli kuwa kiwango cha Yanga kwa sasa kimeporomoka sana kiasi cha kuona sare na Simba ni miujiza na ushindi mkubwa.
Takwimu zinaonyesha Yanga kwa zaidi ya mwaka moja na nusu hawajafanikiwa kuifunga Simba.
Je, ni kweli kuwa kiwango cha Yanga kwa sasa kimeporomoka sana kiasi cha kuona sare na Simba ni miujiza na ushindi mkubwa.
Takwimu zinaonyesha Yanga kwa zaidi ya mwaka moja na nusu hawajafanikiwa kuifunga Simba.