Kwanini Yesu alituacha na sheria ngumu sisi wanaume

Kwanini Yesu alituacha na sheria ngumu sisi wanaume

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,325
Reaction score
7,807
Wote tunafahamu kwenye agano la kale dhambi ya uzinzi ilihesabika mpaka pale mtu alipozini lakini Yesu alijua kuiongeza makali ile sheria kwamba hata kwa kumuangalia mwanamke kwa kumtamani basi mtu huyo kafanya dhambi.

Je, ni nani atakayepona ulimwengu huu kama kila mtandao wa kijamii ukiingia unakutana na picha za wanawake wamevaa nusu utupu ukitembea barabarani unakutana na Wanawake wamevaa hovyo makanisani watu wanavaa hovyo?
 
Hawa hapa ndio wana nabii wa ukweli wa kiafrika, achana na hekaya za mashariki ya kati...

1739727449214.png
 
Back
Top Bottom