Judah Tribe
Senior Member
- Sep 1, 2024
- 159
- 594
Wazima kama swali linavyo uliza wakristo nitaomba majibu yenu kwanini YESU kristo aitwe Simba na si Mnyama mwingine mfano Tiger, Chui, Tembo au Nyati.
Najua humu kuna wataalam watakao tujibu kitaalam na kiimani zaidi ili iwe faida kwa wengi wasio fahamu na pengine walio kuwa wanafahamu kwa udogo.
Pia soma: Ijumaa Kuu: Kifo cha Yesu Kristo Msalabani (Simba wa Yuda)
Natanguliza shukurani maana nataka nimjue YESU zaidi Sana maana imeandikwa ndie mtawala ajaye kuitawala Dunia milele na milele.
Na imeandikwa yeye ndie atakae tupa miili mipya katika mji huo WA YERUSALEMU MPYA IJAYO
ASANTENI
Najua humu kuna wataalam watakao tujibu kitaalam na kiimani zaidi ili iwe faida kwa wengi wasio fahamu na pengine walio kuwa wanafahamu kwa udogo.
Pia soma: Ijumaa Kuu: Kifo cha Yesu Kristo Msalabani (Simba wa Yuda)
Natanguliza shukurani maana nataka nimjue YESU zaidi Sana maana imeandikwa ndie mtawala ajaye kuitawala Dunia milele na milele.
Na imeandikwa yeye ndie atakae tupa miili mipya katika mji huo WA YERUSALEMU MPYA IJAYO
ASANTENI