Kwanini Yesu anaitwa Simba na si jina la mnyama mwingine?

Kwanini Yesu anaitwa Simba na si jina la mnyama mwingine?

Judah Tribe

Senior Member
Joined
Sep 1, 2024
Posts
159
Reaction score
594
Wazima kama swali linavyo uliza wakristo nitaomba majibu yenu kwanini YESU kristo aitwe Simba na si Mnyama mwingine mfano Tiger, Chui, Tembo au Nyati.

Najua humu kuna wataalam watakao tujibu kitaalam na kiimani zaidi ili iwe faida kwa wengi wasio fahamu na pengine walio kuwa wanafahamu kwa udogo.

Pia soma: Ijumaa Kuu: Kifo cha Yesu Kristo Msalabani (Simba wa Yuda)

Natanguliza shukurani maana nataka nimjue YESU zaidi Sana maana imeandikwa ndie mtawala ajaye kuitawala Dunia milele na milele.

Na imeandikwa yeye ndie atakae tupa miili mipya katika mji huo WA YERUSALEMU MPYA IJAYO

ASANTENI

Christian Faith-Based JESUS CROSS LION Thorns and_.jpeg
 
Ni kwasababu Simba ni jasiri, haogopi, tena ana nguvu na tena anajulikana kama Mfalme wa pori.
 
Wazima kama swali linavyo uliza wakristo nitaomba majibu yenu kwanini YESU kristo aitwe Simba na si Mnyama mwingine mfano Tiger, Chui, Tembo au Nyati.

Najua humu kuna wataalam watakao tujibu kitaalam na kiimani zaidi ili iwe faida kwa wengi wasio fahamu na pengine walio kuwa wanafahamu kwa udogo.

Natanguliza shukurani maana nataka nimjue YESU zaidi Sana maana imeandikwa ndie mtawala ajaye kuitawala Dunia milele na milele.

Na imeandikwa yeye ndie atakae tupa miili mipya katika mji huo WA YERUSALEMU MPYA IJAYO

ASANTENI

View attachment 3084429
ata angeitwa chui au nyati,bado ungeuliza kwa nini ameitwa ivyo!!
 
Back
Top Bottom