Kwanini YouTube Channel ya JamiiForums imedoda?

Kwanini YouTube Channel ya JamiiForums imedoda?

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
[salam inakuaga hapa]

Wakuu, nimekua nikitembelea mara nyingi tu Channel ya JF uko YouTube. Kusema kweli Mero na team yake kwa YT wanahitaji kubadirisha approach yake. Maana engagement ni ndogo sana.
Screenshot_20240510-230657.png

Ni wazi JF imejitengenezea fan base kubwa sana kwenye baadhi ya social network mfano Instagram, Facebook, WhatsApp channel etc, ila kwenye YouTube statistics zimekataa.

Sijajua sababu ni poor contents, hamna maandalizi, quality ya kazi au nini?
Screenshot_20240510-231040.png

Channel ya YT ya JamiiForums imeanzishwa mwaka 2009 lakini ata subscribers 200k haijafika. Views za video ni za kuunga unga tu? Wamepost zaidi ya video elfu 2 ila bado doro. Video elfu 2.
Screenshot_20240510-230724.png

Screenshot_20240510-230746.png

Wanazidiwa na Online TV kama Manara ambayo haina ata miaka miwili tokea ianzishwe. Na ata haina fanbase kubwa na loyal ila ni unga unga tu.

Simsemi mtu: ila imagine unatumia muda kuandaa content ya masaa 2 hafu inakuja na views 3. Like serious views 3.

Kwamba ata nyie wenyewe team yenu wote hamuangalii video zenu au?

Ushauri wangu:
- Mjitofautishe na Channel nyingine. Msiwe watoa taarifa kama wakina Millard Ayo, Manara TV etc, tafuteni niche nyingine, especially: Kuelimisha, na Kuburudisha.

Nasema msiwe watoa taarifa kwasababu, video zetu 10 za mwisho [kama kwenye screenshot hapo] tisa ni za taarifa na moja tu ndio kama story [kuhusu Titanic] na iyo ndio imeperfom vizuri.

- Kama ambavyo kwenye website hapa kuna forums [majukwaa] sasa yageuzeni yawe vipindi kwenye YouTube. Sio lazima kila jukwaa liwepo ila vitu vya kutoa elimu kama JF Health, Kitchen, Garage, Ujenzi, Ufugaji, etc mkavitengenezea vipindi [series] kwasababu sisi kama wanajamii tuna interact navyo ivyo kila siku.

Pia baadhi ya majukwaa mfano: Ajira na Tenda, Chitchat, etc mkayatengenezea kama midaharo [or Midahalo?] kwa kuchukua topic mbalimbali na watu wakazidiscuss [watu namaanisha watakao taka kuja sio lazima wawe wanaJF]

- Wekeni kipindi ambacho mtakua mnatoa briefly ya week ya JF kwa kuangalia habari za kila jukwaa kuu zilizotrend na jinsi wachangiaji walivyochangia.

Ingawa mtakua mnafilter replies lakini ni kama unakua umetusomea topic, then unaanza kutuambia jinsi wachangiaji mbalimbali walivyotoa maoni. Ni something amazing mkitulia.

- Na mwisho, naweza sema Channel yenu haina uhusiano kabisa na website. Yaani as if ni vitu viwili tofauti. Nasema ivo kwanini?

Cheki kwenye account zenu kwenye social networks nyingine mfano X, FB, Instagram etc mnachofanya mnachukua vitu au mada ambazo tumezipost huku then mnazihakiki mnazi edit mnazipost huko. Good.

Lakini YT kila kitu mnajitengenezea nyie kuanzia habari, vipindi, picha, etc. Yaani hakuna connection kabisa.

Ifanyeni YouTube channel iwe mali ya Wanajamiiforums.

Mi naomba niishie hapa, kama mawazo ni positive myachukue kama mtakaza fuvu sawa.

Gracias.
 
YouTube channel yoyote ile yenye subscribers wengi na views wengi ukiifatilia content inazoweka utagundua nyingi ni umbeya sana na kuongelea ishu za mastaa tu kitu ambacho ni kinyume na Jf kabisa 🤒😎
Siyo kweli; ninachofahamu ni kwamba Youtube inahitaji niche. Uwe na jambo moja tu la kufocus nalo. JF inaweza kujikita kwenye Tanzania current affairs tu bila kuchanganya na siasa ikapata wafuasi wengi sana.
 
[salam inakuaga hapa]

Wakuu, nimekua nikitembelea mara nyingi tu Channel ya JF uko YouTube. Kusema kweli Mero na team yake kwa YT wanahitaji kubadirisha approach yake. Maana engagement ni ndogo sana.
View attachment 2987313
Ni wazi JF imejitengenezea fan base kubwa sana kwenye baadhi ya social network mfano Instagram, Facebook, WhatsApp channel etc, ila kwenye YouTube statistics zimekataa.

Sijajua sababu ni poor contents, hamna maandalizi, quality ya kazi au nini?
View attachment 2987314
Channel ya YT ya JamiiForums imeanzishwa mwaka 2009 lakini ata subscribers 200k haijafika. Views za video ni za kuunga unga tu? Wamepost zaidi ya video elfu 2 ila bado doro. Video elfu 2.
View attachment 2987316
View attachment 2987315
Wanazidiwa na Online TV kama Manara ambayo haina ata miaka miwili tokea ianzishwe. Na ata haina fanbase kubwa na loyal ila ni unga unga tu.

Simsemi mtu: ila imagine unatumia muda kuandaa content ya masaa 2 hafu inakuja na views 3. Like serious views 3.

Kwamba ata nyie wenyewe team yenu wote hamuangalii video zenu au?

Ushauri wangu:
- Mjitofautishe na Channel nyingine. Msiwe watoa taarifa kama wakina Millard Ayo, Manara TV etc, tafuteni niche nyingine, especially: Kuelimisha, na Kuburudisha.

Nasema msiwe watoa taarifa kwasababu, video zetu 10 za mwisho [kama kwenye screenshot hapo] tisa ni za taarifa na moja tu ndio kama story [kuhusu Titanic] na iyo ndio imeperfom vizuri.

- Kama ambavyo kwenye website hapa kuna forums [majukwaa] sasa yageuzeni yawe vipindi kwenye YouTube. Sio lazima kila jukwaa liwepo ila vitu vya kutoa elimu kama JF Health, Kitchen, Garage, Ujenzi, Ufugaji, etc mkavitengenezea vipindi [series] kwasababu sisi kama wanajamii tuna interact navyo ivyo kila siku.

Pia baadhi ya majukwaa mfano: Ajira na Tenda, Chitchat, etc mkayatengenezea kama midaharo [or Midahalo?] kwa kuchukua topic mbalimbali na watu wakazidiscuss [watu namaanisha watakao taka kuja sio lazima wawe wanaJF]

- Wekeni kipindi ambacho mtakua mnatoa briefly ya week ya JF kwa kuangalia habari za kila jukwaa kuu zilizotrend na jinsi wachangiaji walivyochangia.

Ingawa mtakua mnafilter replies lakini ni kama unakua umetusomea topic, then unaanza kutuambia jinsi wachangiaji mbalimbali walivyotoa maoni. Ni something amazing mkitulia.

- Na mwisho, naweza sema Channel yenu haina uhusiano kabisa na website. Yaani as if ni vitu viwili tofauti. Nasema ivo kwanini?

Cheki kwenye account zenu kwenye social networks nyingine mfano X, FB, Instagram etc mnachofanya mnachukua vitu au mada ambazo tumezipost huku then mnazihakiki mnazi edit mnazipost huko. Good.

Lakini YT kila kitu mnajitengenezea nyie kuanzia habari, vipindi, picha, etc. Yaani hakuna connection kabisa.

Ifanyeni YouTube channel iwe mali ya Wanajamiiforums.

Mi naomba niishie hapa, kama mawazo ni positive myachukue kama mtakaza fuvu sawa.

Gracias.
wameleta ujuaji wao wakafutiwa
 
[salam inakuaga hapa]

Wakuu, nimekua nikitembelea mara nyingi tu Channel ya JF uko YouTube. Kusema kweli Mero na team yake kwa YT wanahitaji kubadirisha approach yake. Maana engagement ni ndogo sana.
View attachment 2987313
Ni wazi JF imejitengenezea fan base kubwa sana kwenye baadhi ya social network mfano Instagram, Facebook, WhatsApp channel etc, ila kwenye YouTube statistics zimekataa.

Sijajua sababu ni poor contents, hamna maandalizi, quality ya kazi au nini?
View attachment 2987314
Channel ya YT ya JamiiForums imeanzishwa mwaka 2009 lakini ata subscribers 200k haijafika. Views za video ni za kuunga unga tu? Wamepost zaidi ya video elfu 2 ila bado doro. Video elfu 2.
View attachment 2987316
View attachment 2987315
Wanazidiwa na Online TV kama Manara ambayo haina ata miaka miwili tokea ianzishwe. Na ata haina fanbase kubwa na loyal ila ni unga unga tu.

Simsemi mtu: ila imagine unatumia muda kuandaa content ya masaa 2 hafu inakuja na views 3. Like serious views 3.

Kwamba ata nyie wenyewe team yenu wote hamuangalii video zenu au?

Ushauri wangu:
- Mjitofautishe na Channel nyingine. Msiwe watoa taarifa kama wakina Millard Ayo, Manara TV etc, tafuteni niche nyingine, especially: Kuelimisha, na Kuburudisha.

Nasema msiwe watoa taarifa kwasababu, video zetu 10 za mwisho [kama kwenye screenshot hapo] tisa ni za taarifa na moja tu ndio kama story [kuhusu Titanic] na iyo ndio imeperfom vizuri.

- Kama ambavyo kwenye website hapa kuna forums [majukwaa] sasa yageuzeni yawe vipindi kwenye YouTube. Sio lazima kila jukwaa liwepo ila vitu vya kutoa elimu kama JF Health, Kitchen, Garage, Ujenzi, Ufugaji, etc mkavitengenezea vipindi [series] kwasababu sisi kama wanajamii tuna interact navyo ivyo kila siku.

Pia baadhi ya majukwaa mfano: Ajira na Tenda, Chitchat, etc mkayatengenezea kama midaharo [or Midahalo?] kwa kuchukua topic mbalimbali na watu wakazidiscuss [watu namaanisha watakao taka kuja sio lazima wawe wanaJF]

- Wekeni kipindi ambacho mtakua mnatoa briefly ya week ya JF kwa kuangalia habari za kila jukwaa kuu zilizotrend na jinsi wachangiaji walivyochangia.

Ingawa mtakua mnafilter replies lakini ni kama unakua umetusomea topic, then unaanza kutuambia jinsi wachangiaji mbalimbali walivyotoa maoni. Ni something amazing mkitulia.

- Na mwisho, naweza sema Channel yenu haina uhusiano kabisa na website. Yaani as if ni vitu viwili tofauti. Nasema ivo kwanini?

Cheki kwenye account zenu kwenye social networks nyingine mfano X, FB, Instagram etc mnachofanya mnachukua vitu au mada ambazo tumezipost huku then mnazihakiki mnazi edit mnazipost huko. Good.

Lakini YT kila kitu mnajitengenezea nyie kuanzia habari, vipindi, picha, etc. Yaani hakuna connection kabisa.

Ifanyeni YouTube channel iwe mali ya Wanajamiiforums.

Mi naomba niishie hapa, kama mawazo ni positive myachukue kama mtakaza fuvu sawa.

Gracias.
Mkuu nje ya mada,ndio najichanga nitafute angalau milioni 17,ni gari gani hybrid yenye muonekano mzuri nayoweza kupata kwa hela hiyo? Hapa nimeomba mtazamo wako so usijali wengine wanataka nini...Ukinipa choice zaidi ya moja ntafurahi.
 
[salam inakuaga hapa]

Wakuu, nimekua nikitembelea mara nyingi tu Channel ya JF uko YouTube. Kusema kweli Mero na team yake kwa YT wanahitaji kubadirisha approach yake. Maana engagement ni ndogo sana.
View attachment 2987313
Ni wazi JF imejitengenezea fan base kubwa sana kwenye baadhi ya social network mfano Instagram, Facebook, WhatsApp channel etc, ila kwenye YouTube statistics zimekataa.

Sijajua sababu ni poor contents, hamna maandalizi, quality ya kazi au nini?
View attachment 2987314
Channel ya YT ya JamiiForums imeanzishwa mwaka 2009 lakini ata subscribers 200k haijafika. Views za video ni za kuunga unga tu? Wamepost zaidi ya video elfu 2 ila bado doro. Video elfu 2.
View attachment 2987316
View attachment 2987315
Wanazidiwa na Online TV kama Manara ambayo haina ata miaka miwili tokea ianzishwe. Na ata haina fanbase kubwa na loyal ila ni unga unga tu.

Simsemi mtu: ila imagine unatumia muda kuandaa content ya masaa 2 hafu inakuja na views 3. Like serious views 3.

Kwamba ata nyie wenyewe team yenu wote hamuangalii video zenu au?

Ushauri wangu:
- Mjitofautishe na Channel nyingine. Msiwe watoa taarifa kama wakina Millard Ayo, Manara TV etc, tafuteni niche nyingine, especially: Kuelimisha, na Kuburudisha.

Nasema msiwe watoa taarifa kwasababu, video zetu 10 za mwisho [kama kwenye screenshot hapo] tisa ni za taarifa na moja tu ndio kama story [kuhusu Titanic] na iyo ndio imeperfom vizuri.

- Kama ambavyo kwenye website hapa kuna forums [majukwaa] sasa yageuzeni yawe vipindi kwenye YouTube. Sio lazima kila jukwaa liwepo ila vitu vya kutoa elimu kama JF Health, Kitchen, Garage, Ujenzi, Ufugaji, etc mkavitengenezea vipindi [series] kwasababu sisi kama wanajamii tuna interact navyo ivyo kila siku.

Pia baadhi ya majukwaa mfano: Ajira na Tenda, Chitchat, etc mkayatengenezea kama midaharo [or Midahalo?] kwa kuchukua topic mbalimbali na watu wakazidiscuss [watu namaanisha watakao taka kuja sio lazima wawe wanaJF]

- Wekeni kipindi ambacho mtakua mnatoa briefly ya week ya JF kwa kuangalia habari za kila jukwaa kuu zilizotrend na jinsi wachangiaji walivyochangia.

Ingawa mtakua mnafilter replies lakini ni kama unakua umetusomea topic, then unaanza kutuambia jinsi wachangiaji mbalimbali walivyotoa maoni. Ni something amazing mkitulia.

- Na mwisho, naweza sema Channel yenu haina uhusiano kabisa na website. Yaani as if ni vitu viwili tofauti. Nasema ivo kwanini?

Cheki kwenye account zenu kwenye social networks nyingine mfano X, FB, Instagram etc mnachofanya mnachukua vitu au mada ambazo tumezipost huku then mnazihakiki mnazi edit mnazipost huko. Good.

Lakini YT kila kitu mnajitengenezea nyie kuanzia habari, vipindi, picha, etc. Yaani hakuna connection kabisa.

Ifanyeni YouTube channel iwe mali ya Wanajamiiforums.

Mi naomba niishie hapa, kama mawazo ni positive myachukue kama mtakaza fuvu sawa.

Gracias.
umechamba
 
Back
Top Bottom