Kwanini Yutong walete karakana hapa Tanzania na siyo Zhong Tong?

Kwanini Yutong walete karakana hapa Tanzania na siyo Zhong Tong?

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Nimesikia balozi wa Tanzania nchini China anasema Yutong wanaleta karakana (garage).

Ukweli sijafurahishwa kwa sababu garage ni biashara ya Watanzania siyo kazi ya kuagiza nje.

Halafu haya mabus ya Yutong wanayatengeneza kwa vipimo vya wanafunzi wa shule ya msingi maana ukiwa mrefu kidogo tu viti vinabana sana.

Ni bora wangeleta Zhong Tong ambao mabus yao ni standard kwa mtu yeyote anasafiri kwa starehe.

Hebu viongozi wetu mwe mnatufanyia vitu vizuri sio kuidhinisha vitu vyenye kiwango duni kama hayo mabus ya Yutong.
 
Hawa wachina wanadhani kila binadamu wana urefu kama wao

Ndio maana hata condom zao zilipelekwa Ghana zikiwa ni ndogo sana na matundu kibao

Sasa hapo usishangae viti vikiwa karibu
 
Tunachoangalia ni kutuletea maarifa na ajira (knowledge transfer) Kama wewe unaweza kuwashawishi wengine ni sawa
 
Hapo ndio akili ya balozi ilipoishia. Hata hizi Ajira chache zilizopo bado anataka kuwapa wachina.
Mind you huyo ndio balozi, ambaye anatakiwa alete unafuu kwa maisha na Ajira za watanzania.
 
Si bora garage kuliki kuuza maua na yebo kariakoo.
Ila mafundi wetu wanaweza kuzitengeneza hizo youtong. Maaha zipo softcated sana.
 
Halafu haya mabus ya Yutong wanayatengeneza kwa vipimo vya wanafunzi wa shule ya msingi maana ukiwa mrefu kidogo tu viti vinabana sana.

Ni bora wangeleta Zhong Tong ambao mabus yao ni standard kwa mtu yeyote anasafiri kwa starehe.

Hebu viongozi wetu mwe mnatufanyia vitu vizuri sio kuidhinisha vitu vyenye kiwango duni kama hayo mabus ya Yutong.
Tatizo viongozi wetu ni wa matanuzi sana, hawatumii public transport, adha wanazozipata watu wa kawaida wao hawazioni, hayo unayosema ni kama unawapigia mbuzi gitaa, wao wapo kumfavour mfanya biashara na siyo mlaji
 
Back
Top Bottom