Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
Wanakuja wachezaji wengi wanaondoka ila Kennedy Juma anabakia tena hakuna shabiki ana dout kabisa na hata akipewa nafasi anakiwasha sana.
Hata timu ya taifa anaitwa sana, shida iko wapi? Simba tunamuona Mwamnyeto ni beki bora wa Yanga kuliko wachezaji wazawa? Vipi Kennedy Juma sio beki bora kama Mwamnyeto/kumzidi?
Na kwanini zaidi ya misimu minne hapati nafasi wakati ni wazi akipewa 15 minutes anakiwashaa sana?
Tuanzie hapa kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata timu ya taifa anaitwa sana, shida iko wapi? Simba tunamuona Mwamnyeto ni beki bora wa Yanga kuliko wachezaji wazawa? Vipi Kennedy Juma sio beki bora kama Mwamnyeto/kumzidi?
Na kwanini zaidi ya misimu minne hapati nafasi wakati ni wazi akipewa 15 minutes anakiwashaa sana?
Tuanzie hapa kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app