Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
Swali la pili ni utopolo...rudia kuandikaKabla hujajibiwa, na wewe unatakiwa kuyajibu haya maswali yangu kwanza;
1. Ni nani aliyekuambia huyo mchezaji Kennedy Juma haaminiwi?
2. Ni kwa nini umemlinganisha na Bakary Mwamnyeto anayechezea Yanga, na wakati yeye Kennedy Juma anachezea simba?
3. Hiyo nafasi uliyotaka aipate ndani ya misimu minne ni ipi hiyo? Au ulitaka makocha wampange kwenye kila mechi, hata kama kuna wachezaji ambao walionekana wana sifa ya kuanza badala ya yeye Kennedy Juma?
4. Kwa nini unaoneka kuumia zaidi pengine hata kuliko mchezaji husika kukosa hiyo nafasi ya kucheza ndani ya misimu minne?
Ukitulia huwa una hojaKabla hujajibiwa, na wewe unatakiwa kuyajibu haya maswali yangu kwanza;
1. Ni nani aliyekuambia huyo mchezaji Kennedy Juma haaminiwi?
2. Ni kwa nini umemlinganisha na Bakary Mwamnyeto anayechezea Yanga, na wakati yeye Kennedy Juma anachezea simba?
3. Hiyo nafasi uliyotaka aipate ndani ya misimu minne ni ipi hiyo? Au ulitaka makocha wampange kwenye kila mechi, hata kama kuna wachezaji ambao walionekana wana sifa ya kuanza badala ya yeye Kennedy Juma?
4. Kwa nini unaoneka kuumia zaidi pengine hata kuliko mchezaji husika kukosa hiyo nafasi ya kucheza ndani ya misimu minne?
Maswali YAKo yote hayana msingi......tokea lini mwanafunzi akamkosoa mwalimu kwenye mtihani???Kabla hujajibiwa, na wewe unatakiwa kuyajibu haya maswali yangu kwanza;
1. Ni nani aliyekuambia huyo mchezaji Kennedy Juma haaminiwi?
2. Ni kwa nini umemlinganisha na Bakary Mwamnyeto anayechezea Yanga, na wakati yeye Kennedy Juma anachezea simba?
3. Hiyo nafasi uliyotaka aipate ndani ya misimu minne ni ipi hiyo? Au ulitaka makocha wampange kwenye kila mechi, hata kama kuna wachezaji ambao walionekana wana sifa ya kuanza badala ya yeye Kennedy Juma?
4. Kwa nini unaoneka kuumia zaidi pengine hata kuliko mchezaji husika kukosa hiyo nafasi ya kucheza ndani ya misimu minne?