Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona huku Bara tuna mabwawa, mito, maziwa na bahari teletele, lakini hakuna Makachu? Nafikiri kupanga ni kuchagua.Tangu kumeibuka wimbi la wachekeshaji kibiashara nchini sijawahi kusikia comedian Mzanzibar aliye maarufu. Huko Zanzibar wao hawafanyi comedy au wapo ila hawajawa maarufu tu?!
Uchekeshaji Unahitaji ubunifu na matumizi makubwa ya akili.Tangu kumeibuka wimbi la wachekeshaji kibiashara nchini sijawahi kusikia comedian Mzanzibar aliye maarufu. Huko Zanzibar wao hawafanyi comedy au wapo ila hawajawa maarufu tu?!
Mchekeshaji ambae yupo successfull wakati wetu Abdallah Nzunda aka Mkojani aka Daruwesh si ndio lafudhi yake hio iliomtoa kisanaa?Sasa Wazenji watachekeshaje na ile lafudhi yao
Wao ni katika waasisi wa comedy Nchi hii wakati King Majuto anaanza Comedy Tanga alikua na mwenzake Anaitwa kwa jina la kisanii "Mangush" kutokea huko visiwani.Tangu kumeibuka wimbi la wachekeshaji kibiashara nchini sijawahi kusikia comedian Mzanzibar aliye maarufu. Huko Zanzibar wao hawafanyi comedy au wapo ila hawajawa maarufu tu?!
Umepigaje hapa? 😁Uchekeshaji Unahitaji ubunifu na matumizi makubwa ya akili.
Je unadhani wazenji wana what it takes to chekesha?
😁
mbona kama fala fulani hivi, nani kakuambia chekeshaji ni upuuzi? Ile ni kazi inayoingiza kipato kikubwa, umewahi kuwaona family matters, martin, mr. Been?kule hawana mambo ya kipuuzi, wao bzy na kufanya biashara
mbona kama fala fulani hivi, nani kakuambia chekeshaji ni upuuzi? Ile ni kazi inayoingiza kipato kikubwa, umewahi kuwaona family matters, martin, mr. Been?