Kwanini Zanzibar watu hawatekwi, kuuawa na kupotea?

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Najiuliza ili swali inakuwaje Zanzibar watu hawatekwi na kupotea Kama bara?

Toka watu wameanza kutekwa na kupotea mwaka 2016 mpaka mwaka huu ni 2024!!

Sijawai kusikia mzanzibar katekwa na kupotea

Ila watanganyika ndio waanga wa utekaji na kupotea hii ni bahati mbaya au Nini ?

Sipati majibu mwenye majibu tafadhari.
 
Serikali ya Umoja(SUK)
 
hakuna active chadema kuitishia ccm...........simple
 
Hawezi kuharibu nyumbani kwake.
 
Raisi wa Zanzibar inaonekana ana nguvu kuliko wapambe wa chama na Zanzibar wameshika saana dini.kumcha Mungu sio maneno ni matendo.
 
Mkuu Zanzibar wapitia madhira makubwa pale walipothubutu kuchezea Muungano tangu wakati wa Nyerere mpaka wakati wa Mkapa!
Baada ya uchaguzi mwaka 2000 mwaka ulioaminika kuwa CUF wameporwa ushindi Zanzibar mwaka 2001 January waliuliwa wengi walipojariibu kuandamana mpaka wengine wakakimbilia uhamisho Kenya!
Angalau kwa sasa Zanzibar kuna amani baada ya chama cha CUF kufa!
Kwa sasa naona ni zamu ya Watanganyika!
 
Kwakuwa sio Tanganyika kunakoongozwa na wahamiaji
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Fuatilia kuna kisa kilitokea Cha mtu kuuwa Zanzibar causative factors sijui ilikuwaje
 
Samia - mZanzibar
Abdul - mzanzibar

Wewe unaweza kuteka na kuua watu wa nyukba yako??????
 
Hata mwizi huwa haibi kwao. Watekaji wote wanatumwa na mzanzibari huyu ambaye kapewa kiti cha ikulu ya Tanganyika. Kwahiyo hawezi kuwatuma kwenda kuwateka ndugu zake wa Kizimkazi.
 
Kule watu wana imani, wanahofu na Mungu

Huku sasa, wengi wao imani hawana, wanaishi kama wanyama tu, kuuwa ni dakika tu..... hawaendeshi biashara bila ushirikina, wengine kutoa kafara watoto wao, wengine kuondoka na viungo vya binadamu na kupeleka kwa waganga, in short Mganga kwao ndio mungu, ndio tegemezi lao. Mungu wamemuweka kando.
 
Inawezekana zamu yao bado.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…