technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Serikali ya Umoja(SUK)Najiuliza ili swali inakuwaje Zanzibar watu hawatekwi na kupotea Kama bara?
Toka watu wameanza kutekwa na kupotea mwaka 2016 mpaka mwaka huu ni 2024!!
Sijawai kusikia mzanzibar katekwa na kupotea
Ila watanganyika ndio waanga wa utekaji na kupotea hii ni bahati mbaya au Nini ?
Sipati majibu mwenye majibu tafadhari.
hakuna active chadema kuitishia ccm...........simpleNajiuliza ili swali inakuwaje Zanzibar watu hawatekwi na kupotea Kama bara?
Toka watu wameanza kutekwa na kupotea mwaka 2016 mpaka mwaka huu ni 2024!!
Sijawai kusikia mzanzibar katekwa na kupotea
Ila watanganyika ndio waanga wa utekaji na kupotea hii ni bahati mbaya au Nini ?
Sipati majibu mwenye majibu tafadhari.
Hawezi kuharibu nyumbani kwake.Najiuliza ili swali inakuwaje Zanzibar watu hawatekwi na kupotea Kama bara?
Toka watu wameanza kutekwa na kupotea mwaka 2016 mpaka mwaka huu ni 2024!!
Sijawai kusikia mzanzibar katekwa na kupotea
Ila watanganyika ndio waanga wa utekaji na kupotea hii ni bahati mbaya au Nini ?
Sipati majibu mwenye majibu tafadhari.
Raisi wa Zanzibar inaonekana ana nguvu kuliko wapambe wa chama na Zanzibar wameshika saana dini.kumcha Mungu sio maneno ni matendo.Najiuliza ili swali inakuwaje Zanzibar watu hawatekwi na kupotea Kama bara?
Toka watu wameanza kutekwa na kupotea mwaka 2016 mpaka mwaka huu ni 2024!!
Sijawai kusikia mzanzibar katekwa na kupotea
Ila watanganyika ndio waanga wa utekaji na kupotea hii ni bahati mbaya au Nini ?
Sipati majibu mwenye majibu tafadhari.
Kwakuwa sio Tanganyika kunakoongozwa na wahamiajiNajiuliza ili swali inakuwaje Zanzibar watu hawatekwi na kupotea Kama bara?
Toka watu wameanza kutekwa na kupotea mwaka 2016 mpaka mwaka huu ni 2024!!
Sijawai kusikia mzanzibar katekwa na kupotea
Ila watanganyika ndio waanga wa utekaji na kupotea hii ni bahati mbaya au Nini ?
Sipati majibu mwenye majibu tafadhari.
πππππNajiuliza ili swali inakuwaje Zanzibar watu hawatekwi na kupotea Kama bara?
Toka watu wameanza kutekwa na kupotea mwaka 2016 mpaka mwaka huu ni 2024!!
Sijawai kusikia mzanzibar katekwa na kupotea
Ila watanganyika ndio waanga wa utekaji na kupotea hii ni bahati mbaya au Nini ?
Sipati majibu mwenye majibu tafadhari.
Samia - mZanzibarNajiuliza ili swali inakuwaje Zanzibar watu hawatekwi na kupotea Kama bara?
Toka watu wameanza kutekwa na kupotea mwaka 2016 mpaka mwaka huu ni 2024!!
Sijawai kusikia mzanzibar katekwa na kupotea
Ila watanganyika ndio waanga wa utekaji na kupotea hii ni bahati mbaya au Nini ?
Sipati majibu mwenye majibu tafadhari.
Inawezekana zamu yao bado.Najiuliza ili swali inakuwaje Zanzibar watu hawatekwi na kupotea Kama bara?
Toka watu wameanza kutekwa na kupotea mwaka 2016 mpaka mwaka huu ni 2024!!
Sijawai kusikia mzanzibar katekwa na kupotea
Ila watanganyika ndio waanga wa utekaji na kupotea hii ni bahati mbaya au Nini ?
Sipati majibu mwenye majibu tafadhari.