Kwanini ZINAA ni dhambi?

Kwanini ZINAA ni dhambi?

happyxxx

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2020
Posts
604
Reaction score
1,970
Naomba kufahamu kwa nini zinaa inakuwa dhambi? Vitabu vyote vya dini vinapiga maarufu zinaa.

Hata mila karibu zote zinakataza zinaa. Naamini hakuna kinachotokea bila sababu, lazima kuna sababu ya msingi kuikataza zinaa.

Kama kitendo cha watu kukutana kimwili kingekuwa kibaya. Mbona watu walio kwenye ndoa wanafanya mapenzi na sio shida!!?

Kwa nini ukifanya nje ya ndoa au kabla ya ndoa ndio inakuwa dhambi? Je, kuna uhusiano wa dhambi ya kuzini na mapadre kutooa?

Je, kuna uhusiano wa dhambi ya kuzini na maustaaz kuwakwepa wanawake (maustaaz wa tiba)? Kuna madhala yoyote kwenye ulimwengu wa kiroho unaosababishwa na kufanya ngono?

Kuna vitu kama utakaso, janaba nk

Ebu intelligent anaejua anipe somo kidogo
 
Naomba kufahamu kwa nini zinaa inakuwa dhambi?

Vitabu vyote vya dini vinapiga maarufu zinaa.

Hata mila karibu zote zinakataza zinaa.

Naamini hakuna kinachotokea bila sababu, lazima kuna sababu ya msingi kuikataza zinaa.

Kama kitendo cha watu kukutana kimwili kingekuwa kibaya. Mbona watu walio kwenye ndoa wanafanya mapenzi na sio shida!!?

Kwa nini ukifanya nje ya ndoa au kabla ya ndoa ndio inakuwa dhambi?

Je, kuna uhusiano wa dhambi ya kuzini na mapadre kutooa?

Je, kuna uhusiano wa dhambi ya kuzini na maustaaz kuwakwepa wanawake ( maustaaz wa tiba)?

Kuna madhala yoyote kwenye ulimwengu wa kiroho unaosababishwa na kufanya ngono?

Kuna vitu kama utakaso, janaba nk

Ebu intelligent anaejua anipe somo kidogo
We unaonaje?
 
Kwa mtazamo wangu, ipi ni dhambi na ipi sio dhambi inatafsiriwa na utamaduni wa jamii husika.

Kwa sasa tamaduni zilizopo katika jamii karibu zote duniani niza kidini.
Dini ni utamaduni wa waamini wa dini husika.

Hivyo dini fulani inapofundisha kwamba jambo fulani ni dhambi, jamii inayoiamini dini hiyo moja kwa moja hulishika jambo hilo kwamba ni dhambi.

Na jamii inaingiwa na hisia ya dhambi(dhamiri) kutokana na mafundisho ya dini ile wanayoiamini.
 
Zamani resources zilikuwa limited.
Kabla hata watu hawajagundua mambo ya dini (Im talking miaka 10, 000 huko kurudi nyuma)
Watu waliishi kwa kuwinda na kufuga.

Watu walikuwa wanaishi kwa makundi kama wamasai vile.
Wakagundua ili wasurvive inabidi wacontrol kuzaliana..
Maana mkizaliana sana mtakosa chakula cha kuwalisha watoto.
Ndio hapo njia mojawapo ya kucontrol population ilikuwa ni kufanya sex iwe dhambi.

Kwahyo Dini zimekuja zikakuta tayari jamii nyingi zina hii mindset.

Dini zikaichukua hii mindset na kuikomelea kwenye maandiko.
 
Naomba kufahamu kwa nini zinaa inakuwa dhambi?

Vitabu vyote vya dini vinapiga maarufu zinaa.

Hata mila karibu zote zinakataza zinaa.

Naamini hakuna kinachotokea bila sababu, lazima kuna sababu ya msingi kuikataza zinaa.

Kama kitendo cha watu kukutana kimwili kingekuwa kibaya. Mbona watu walio kwenye ndoa wanafanya mapenzi na sio shida!!?

Kwa nini ukifanya nje ya ndoa au kabla ya ndoa ndio inakuwa dhambi?

Je, kuna uhusiano wa dhambi ya kuzini na mapadre kutooa?

Je, kuna uhusiano wa dhambi ya kuzini na maustaaz kuwakwepa wanawake ( maustaaz wa tiba)?

Kuna madhala yoyote kwenye ulimwengu wa kiroho unaosababishwa na kufanya ngono?

Kuna vitu kama utakaso, janaba nk

Ebu intelligent anaejua anipe somo kidogo
1. Mkuu, Dhambi (Uasi kwa Mungu i.e. usifanye hiki, usifanye kile n.k. amri 10 za Mungu) ZOTE nyingine hufanyika nje ya mwili wako lakini Dhambi ya ZINAA (Uzinzi) hutendeka ndani ya mwili wako mwenyewe.

2. Kama unaamini kwamba Mungu ndiye wa kwanza/chimbuko aliyewaumba wanadamu
basi kwa upendo wake kwetu ss wanadamu, aliamua kutushirikisha kazi hiyo ya uumbaji. Kwa maneno halisi ni kwamba alitupatia uwezo huo wa kiMungu wa Uumbaji kwa kupitia Tendo la ndoa/kujamiiana. Kwa mantiki hiyo kujamiiana ni ni Tendo Takatifu mno linalopaswa kufanyika kwa Heshima zote na kwa Utaratibu maalum.

3. KiTendo cha kujamiiana ni kitendo ambacho hupelekea Kupatikana kwa binadamu/Mtu mpya(Mtoto). Binadamu/Mtu huyo mpya hutokea kwa kuchanganya gene/vinasaba nusu ya Me na nusu ya Ke(wanasayansi watanielewa) kwa hiyo, huyo mtoto atakayezaliwa atakuwa na pedigree au Ukoo unaoeleweka.

4. Jamii takriban zote zinapinga zinaa kwa sababu kujamiiana hovyo(Bila utaratibu) mara nyingi (kama mimba itatungwa)huwa inaleta shida katika Ukoo wa mhusika esp. unapokosekana Ukweli na Uhakika ni mtoto wa nani au tuseme ni Mtoto wa Ukoo gani (Damu ya nani?) Mara nyingi jambo hilo la kukosekana uhalisia wa ni Ukoo wa nani/ni Damu ya nani limeleta shida kubwa sana katika ukoo anakolelewa mtoto.

Utasikia oh, litoto hili jizi,mara mtoto huyu haambiliki, mara, ukoo au mizimu ya ukoo wake haipatani na mizimu ya ukoo wetu n.k. Yote hayo lakini hujitokeza pale wahenga waliposema Majuto ni Mjukuu. Kusahihisha kosa hilo huwa ni ngumu sana. Je, mtoto huyo akifa atazikwa wapi n.k.

Kwa hiyo ili kuepukana na madhila hayo kama yalivyoorodheshwa hapo juu, bora tu Uache Zinaa - Oa uishi na mke wako kwa amani, mkajilie Tunda mnavyotaka kwa Starehe zenu. Asante.
Hakuna Uhusiano wowote wa dhambi ya kuzini na mapadre kutooa. Mapadre ni watu kama watu wengine ni Wakristu.

Zingatia kwamba kuoa ni kitendo cha hiari baina ya watu wawili(Me na Ke) ni Ahadi/Kiapo (ndo maana kuna mashahidi). Padre ameamua kutokuoa.
 
20221230_075746.jpg
 
Just imagine mama yako mzazi anaishi na baba yako mzazi kwenye maisha ya ndoa, alafu Kuna msela mmoja anakuja kuzini na mama yako. Utajisikiaje? Maswali mengine hayapaswi hata kuulizwa Kama unaamini huwepo wa Mungu
 
kwa sisi MA monk sio kuzini tu inaenda mbali Zaidi kitendo cha kutoa sperm tu ni dhambi hapa wenye uraibu wa punyeto lengo kuu LA sex ni kwa ajili ya kuendeleza uumbaji ni jambo takatifu sio kwa ajili ya starehe
 
Zamani resources zilikuwa limited.
Kabla hata watu hawajagundua mambo ya dini (Im talking miaka 10, 000 huko kurudi nyuma)
Watu waliishi kwa kuwinda na kufuga.

Watu walikuwa wanaishi kwa makundi kama wamasai vile.
Wakagundua ili wasurvive inabidi wacontrol kuzaliana..
Maana mkizaliana sana mtakosa chakula cha kuwalisha watoto.
Ndio hapo njia mojawapo ya kucontrol population ilikuwa ni kufanya sex iwe dhambi.

Kwahyo Dini zimekuja zikakuta tayari jamii nyingi zina hii mindset.

Dini zikaichukua hii mindset na kuikomelea kwenye maandiko.
Yeah hapa Kuna ukweli flani kwa mfano Mimi ni mwiraqw ukizungumza miaka 400 iliyopita ilikuwa hivo
 
Naomba kufahamu kwa nini zinaa inakuwa dhambi? Vitabu vyote vya dini vinapiga maarufu zinaa.

Hata mila karibu zote zinakataza zinaa. Naamini hakuna kinachotokea bila sababu, lazima kuna sababu ya msingi kuikataza zinaa.

Kama kitendo cha watu kukutana kimwili kingekuwa kibaya. Mbona watu walio kwenye ndoa wanafanya mapenzi na sio shida!!?

Kwa nini ukifanya nje ya ndoa au kabla ya ndoa ndio inakuwa dhambi? Je, kuna uhusiano wa dhambi ya kuzini na mapadre kutooa?

Je, kuna uhusiano wa dhambi ya kuzini na maustaaz kuwakwepa wanawake (maustaaz wa tiba)? Kuna madhala yoyote kwenye ulimwengu wa kiroho unaosababishwa na kufanya ngono?

Kuna vitu kama utakaso, janaba nk

Ebu intelligent anaejua anipe somo kidogo
Tukiachana na kidini labda tuende kiuchawi kidogo.

Unajua kuna maarifa mengine ili uyaelewe inabidi iangaliwe na chanzo kingine ili ku 'corroborate' ukweli fulani.

Wachawi wanaamini kuwa ni dhambi kumtendea kosa (kumuumiza) mtu mwingine ambaye wala hajakukosea kitu. Tena dhambi inakuwa kubwa zaidi kama huyo mtu alikuamini na akakujali. Ndiyo maana wachawi huoenda kutafuta visa kwanza ndipo akuroge. Wakitenda kidhambidhambi huwa wanaomba msamaha kwa makafara ili ati dhambi hiyo ibebwe na mnyama mwingine.

Tukitumia elimu hiyo tutasema dhambi ni pale ngono inapopelekea kuzaa katoto halafu kateseke/kaumie kwa kukosa matunzo ya kiukoo au kifamilia.

Linabaki swali kwamba pale watu wawili wazima wamekubaliana na wakapeana raha na wakajikinga na mimba(kutumianjiazauzazimpango) na wakatoka wamefurahi je dhambi wamemtendea nani(hakuna aliyeumizwa)? Au la wasijikinge na mimba halafu wakapata mimba wakaenda mbele na kuamua kuoana kumtunza je dhambi wameitenda vipi?

Hiyo ni kichawi lakini, kumbuka dini nazo zina dogma zake.

Kimila nakumbuka kuna fainifaini mnatoa halafu mnaendeleza familia - lengo kuu ni kuweka utaratibu wa kulea watoto ulio bora kwao na kwa jamii/ukoo.
 
Zamani resources zilikuwa limited.
Kabla hata watu hawajagundua mambo ya dini (Im talking miaka 10, 000 huko kurudi nyuma)
Watu waliishi kwa kuwinda na kufuga.

Watu walikuwa wanaishi kwa makundi kama wamasai vile.
Wakagundua ili wasurvive inabidi wacontrol kuzaliana..
Maana mkizaliana sana mtakosa chakula cha kuwalisha watoto.
Ndio hapo njia mojawapo ya kucontrol population ilikuwa ni kufanya sex iwe dhambi.

Kwahyo Dini zimekuja zikakuta tayari jamii nyingi zina hii mindset.

Dini zikaichukua hii mindset na kuikomelea kwenye maandiko.

Zinaa ndio imeleta matatizo yote. Ukimwi, ufiraji, ubakaji, ukahaba etc.
 
Zinaa ni oposite ya tendo la ndoa. Utararibu ni kwamba watu waoane ndipo washiriki tendo la ndoa hapo shetani haingilii maana mmefuata utaratibu wa kimungu. Ila zinaa ni njee ya utaratibu wa kimungu hivyo shetani anakuwa in control kwa muda ulee. Hivyo inakuwa ibada ya shetani na anajimanifest kwa washiriki.

Ndio maana tangu binadamu avunje amri ya sita ni shida. Ukimwi, ubakaji, nyumba ndogo, ndoa kuvunjika, magonjwa ya zinaa, ukahaba etc. Yani shetani amemkamata mwanadamu vizuri. Juzi hapa polisi kafia guest.
 
Back
Top Bottom