Huyu kiongozi mkuu mstaafu wa ACT wazalendo mzaliwa wa kigoma, Mwami Zitto Kabwe ukifuatilia tweets zake zote ni anasapoti kile wanachokifanya Rwanda kupitia M23 nchini Congo.
Anajaribu kuleta utetezi wa kihistoria ambao hata kagame ni kama hautaki.
Kagame analazimisha Congo 🇨🇩 wakae chini wazungumze na M23 kwa sababu ni Watutsi wacongo ila yeye hataki kukaa meza ya mazungumzo na wahutu FDRL ambao ni raia wa nchi yake pia.
Zitto ni kama anaonyesha rangi yake halisi.
Anajaribu kuleta utetezi wa kihistoria ambao hata kagame ni kama hautaki.
Kagame analazimisha Congo 🇨🇩 wakae chini wazungumze na M23 kwa sababu ni Watutsi wacongo ila yeye hataki kukaa meza ya mazungumzo na wahutu FDRL ambao ni raia wa nchi yake pia.
Zitto ni kama anaonyesha rangi yake halisi.