Rose hapo kwenye red hupati mtu!ntaolewa cz nataka kuwa na family
nataka kuwalaea wanangu chini ya baba mmoja
nataka kuwa na rafiki wa kudumu amabe ntashare nae MAMBO YOTE
NTAOLEWA CZ NATAKA KUWA NA ADAMU/MWANAUME WANGU AMbae NTAMMILIKI NA YEYE ATANIMILIKI.
NAWASILISHA.
mi nitaolewa coz maisha ya peke yangu ni magumu (uchumi kaka mdogo) lazima nimtafute anayeweza kuniongezea
Rose hapo kwenye red hupati mtu!
Rose hapo kwenye red hupati mtu!
ntaolewa cz nataka kuwa na family
nataka kuwalaea wanangu chini ya baba mmoja
nataka kuwa na rafiki wa kudumu amabe ntashare nae MAMBO YOTE
NTAOLEWA CZ NATAKA KUWA NA ADAMU/MWANAUME WANGU AMbae NTAMMILIKI NA YEYE ATANIMILIKI.
NAWASILISHA.
we mjukuu we,mbona unarusha kombora ikulu?mbona nishampata ?
ninae tayar...ananimiliki na ninammilik...so TWAMILIKIANA.
WEWE tu labda autak kuisubmit kwake na mkashare na kuplan pa1 mpk ukajihisi uwez bila yeye na yeye awez bila wewe....
tulia waza n saka utampata wa ivo..lakin ile habar yako ya kubadirisha chuchuz kila wik na kimwana kipya sidhan km unaweza ikafika siku ukasema yaaap she is....na yeye akajihisi yap he is....
byeeeeeeeeeeeee babu njaa mie...
Guys naomba mnisaidie kitu ehh....kuna kazi natakiwa kufanya ila naona itachukua muda sana kuuliza watu one on one kwahiyo nimeona nitafute njia rahisi kwa kuuliza hapa jamvini instead!
Kwa wale ambao hamjaoa/olewa je mna mpango wa kufanya hivyo???
Kama jibu ni ndio kwanini unataka na kama jibu ni sio kwanini hutaki????
Kuna msichana mmoja kanichekesha kweli....ye kaniambia anataka tu ili avae gauni zuri na kua kama malkia kwa siku moja yatakayofuata hajali!!Haya naomba basi nisikie sababu zenu!!