Kwanini............??

..... let me see how vijana wamejiandaa andaaje
 
mie nitaolewa,ili nizae watoto niwe na familia takatifu,nisingependa kuwa na watoto nje ya ndoa au baba tofauti...kingine ni kuwa na mwenza wa kushare naye raha na matatizo...sitaki kuzeeka mpweke mie......:mimba:
 
Embu jibu bwana.....ntashika mkia darasani!!!:mod:

dahhh
najua ntaolewa siku ikitarajia sababu si
muhim sana kwangu hivyo vingine tutavikuta
baada ya ndoa ila cha kwanza awe na upendo wa kweli
mzuri kwenye majambozzz na awe na kazi ...
 
dahhh
najua ntaolewa siku ikitarajia sababu si
muhim sana kwangu hivyo vingine tutavikuta
baada ya ndoa ila cha kwanza awe na upendo wa kweli
mzuri kwenye majambozzz na awe na kazi
...

Hapo kwenye bluu mbona kama najiona nafiti vile...Vipi nikufuate PM? 🙂
 
Lizzy Lizzy Lizzy huyo!

Anamelemeta, Anamelemeta, Lizzy Anamelemeta, Anamelemeta!

Wamutwala omwana wasu wamutwala agumile!

e.t.c

Siyo mbaya siku moja katika maisha kuwa "juu ya taabu na shida zote za ulimwengu huu"!!!!
 
Hapo kwenye bluu mbona kama najiona nafiti vile...Vipi nikufuate PM? 🙂

hahahahahah lol
sio mbaya kama unafiti
WARNING : kazi iwe kazi hasa
itakayo nitoa shopping za hatari
hahahahahah lol kama bado una fiti
tuingia chumbani mmmmmhhhhhh
 
hahahahahah lol
sio mbaya kama unafiti
WARNING : kazi iwe kazi hasa
itakayo nitoa shopping za hatari
hahahahahah lol kama bado una fiti
tuingia chumbani mmmmmhhhhhh

Bado nafiti sana tu! Shoppng za hatari ndio HOBBY yangu! Ngoja nije chumbani! Tehetehetehete!!
 
Bado nafiti sana tu! Shoppng za hatari ndio HOBBY yangu! Ngoja nije chumbani! Tehetehetehete!!

hahahaahahah lol
haya wakati we unajitayarisha kuingia chumbani
ngoja mie nianze internet shopping hahahahah lol
nirushie hizo digit kwenye credit card basi mmmmhhh
hhaahahahah lol
 
hahahaahahah lol
haya wakati we unajitayarisha kuingia chumbani
ngoja mie nianze internet shopping hahahahah lol
nirushie hizo digit kwenye credit card basi mmmmhhh
hhaahahahah lol

Shopping ya kuongoza mguu kwa mguu ndio tamu bwana, siyo ya kwenye internet! Tehetehetehe!
 
nataka kuoa,ili tuanze kuheshimiana,naona mabinti wanaweweseka sana,afu pia ili niwaache wengne nao wapate wenza,maana wote mijicho kwangu..
 
Shopping ya kuongoza mguu kwa mguu ndio tamu bwana, siyo ya kwenye internet! Tehetehetehe!

basi yaelekea wajua nachotaka
twende basi uvunguni hahahahah lol
au bado kuna vumbi mmmmhh
 
basi yaelekea wajua nachotaka
twende basi uvunguni hahahahah lol
au bado kuna vumbi mmmmhh

Tangulia basi chumbani, ukapaandae vizuri! Ili tujiandae kwenda zetu shopping!
 
Tangulia basi chumbani, ukapaandae vizuri! Ili tujiandae kwenda zetu shopping!

mmhh chumba hiki kiko tayari 24/7 dear
ni wewe tu uvue viatu na kingia mmhhh
usiogope sifugi nyoka hahahahah lol
 


Partner so very interesting.... Leo mimi kazi imebana sipumui, nitaicheck vizuri baadae na i hope nikisoma zote nitaoona ya kwako inasemaje...
 
Mimi pia ninampango wa kufanya hivyo kwa sababu ni agizo la Mungu kwa yeyote anayedhani anaweza na anapenda kuwa kwenye chama hicho. Na nitafanya hivyo kwa yule ambaye nitampenda kwa upendo wa kweli kutoka ktk vilindi vya moyo wangu.

Na ukafaulu mamii.
 

Kama nimezaliwa nami naitaji kuzaa! kama nimelelewa kama mtoto mpaka ukubwa huu nami pia naitaji kulea mpaka watakapo weza jitegemea. Its natural ukiona mtu anapinga kuoa ama kuolea basi hawatendei haki walio mleta hapa duniani. Hiki kikombe hakiepukiki labda kama umezaliwa bila hizo special device its okay!!!! Sababu nyingine ni kutaka kuhalalisha misuse ya hizi special device ambazo tumejaaliwa na Mola.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…