Kwanini??????

"mungu alipo muumba adamu hakumwacha pekee awe peke ake akamfanyia msaidizi.............................."
 
Ukitaka kuelewa ubongo wa mwanamke unawaza nini, ngojeni siku wanaume watakapo geuka na kuwa wanawake ndio watakapo upata ufahamu wa akili ya mwanamke.

kamwe haitakaa itokee.
 
I Love them ladies, wao na mapungufu yao, pia na kwa uwezo walio nao. Nawapendeni sana mama zangu, nawaheshimu na kuwathamini
 

Bujibuji mbona umeulizia vitu vinne lakini swali la mwisho ndio limeibua mjadala???NAJIULIZA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…