Kwanini?

Naona wote wanasema mambo ya usalama 2!!!!
Mimi naona hata 2napotoka makazini ambao ha2na PRIVATE CARS huwa wadada hawatoi lift mazee!!!

Ni kweli umenena lakini unamuogopa hata mwanamke mwenzako? au usalama gani sasa na yeye anaweza kukubadilikia ghafla au ni ROHO ZA KUNTU ZINAWATAWALA NYIE WANAWAKE??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…