unataka watanzania wote wahamishiwe gerezani?
Tena watunga sheria ndo watakuwa gereza first class.
Katıka nchı nyıngıne uzınzı (adultery) nı kosa la jınaı na mtu anaweza kushıtakıwa. Kwa Tanzanıa, ukımfumanıa mkeo/mmeo unachoweza kufanya nı kufungua shaurı la madaı na kumdaı mgonı fıdıa. Je kuna mtu yeyote anayejua kwanını uzınzı sıyo kosa la jınaı Tanzanıa?
Inategemea jinsi utakavyowasilisha hoja yako au na mazingira ya tukio lenyewe (circumstancial evidence) lakini zaidi uzinzi umeegemea kwenye sheria za madhara (law of Torts) ambazo ni civil by nature yaani ni mlalamikaji kumdai mlalamikiwa fidia ya kosa lenyewe na hasa kwenye taratibu za kimila...................but remember - every case has its own merit!!!
However chini ya sheria ya UKIMWI ya mwaka 2008 na SOSPA bado unaweza kupresent case yako kama jinai as well na adhabu zake ziko chhini ya sheria ya kanuni za adhabu (penal code)!!!
Sherıa ya Ukımwı ınasemaje? Ufafanuzı kıdogo.