Kwann wanaume wengi huwa hivi?

Mmezidi kuwasema wanaume na wanawake wanakuwa na mwanamme mmoja kabla ya ndoa?/

Gender balance aisee acheni kuwaonea wanaume kila siku ha ha ha ha

Naas Dena. Leo umetupenda sana.............
 
It's a man thing, u wouldn't understand it !!
 
Why wouldn't I understand it? Please tell me n I will understand.:crutch:
 
Nafikiri wengine ni kukifu tu kuna watu hawawezi kabisa kuwa na partner mmoja hata wapewe nini
 
Wanaume bana, tunaelewana sana bila hata kuongea...!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…